The Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 10,959
- 13,428
Kwa hali ilivyo, ni kwamba watanzania walio wengi wamempigia Samia Suluhu Hassan kura ya kutokuwa na imani naye. Sasa, nini kifanyike? Sitisha uchaguzi ima iundwe serikali ya mpito au jeshi nalo lau lionje ulaji. Tumeichoka CCM. Hatuitaki hata mzoga wake. Je, Jeshi kweli litazembea na kutuangusha? Je, baada ya hapo, ni ni nini kitatokea. Yuko wapi Samia na machawa wake? Nataka kujua.