Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,721
- 24,141
#. KWAMSISI.....
Kutokana na kiu kubwa ya wananchi kutaka maendeleo endelevu hasa kwenye Mambo ya miundo mbinu ambayo kimsingi huunganisha nchi na kukuza uchumi wa nchi
hivyo kupelekea kukua kwa uchumi wa mtu mmoja mmoja
Katika hali isiyo ya kawaida kutokea duniani ni pale ambapo wazee wa Kwamsisi wameweka masharti magumu kwa serikali ili kujenga barabara ambapo walisema wanahitaji milion 21 ili wafanye tambiko.....pamoja na makubaliano ya kupunguza lkn bado inaonekana kuna ugumu fulani hivi.....
Je unadhani nini kifanyike ili kuwashikisha adabu wanakiji wanaopinga suala la ujenzi wa barabara
Binafsi nashauri wapelekwe wajeda stick zikatembezwe Kijiji kizima
Kutokana na kiu kubwa ya wananchi kutaka maendeleo endelevu hasa kwenye Mambo ya miundo mbinu ambayo kimsingi huunganisha nchi na kukuza uchumi wa nchi
hivyo kupelekea kukua kwa uchumi wa mtu mmoja mmoja
Katika hali isiyo ya kawaida kutokea duniani ni pale ambapo wazee wa Kwamsisi wameweka masharti magumu kwa serikali ili kujenga barabara ambapo walisema wanahitaji milion 21 ili wafanye tambiko.....pamoja na makubaliano ya kupunguza lkn bado inaonekana kuna ugumu fulani hivi.....
Je unadhani nini kifanyike ili kuwashikisha adabu wanakiji wanaopinga suala la ujenzi wa barabara
Binafsi nashauri wapelekwe wajeda stick zikatembezwe Kijiji kizima