Je, Ingekuwa wewe ungefanyaje?

Je, Ingekuwa wewe ungefanyaje?

Hapo kuna mawili kwanza kiburi chote hiko kinatokana na nini ?? Waweza kuta yeye ndio mbeba family nzima kipato yeye ndio anasababisha so mwanaume anasinyaa kidogo kidogo mpaka inafikia hapo wazee tutafute hii shilingi watatutoboa macho hawa watu wa dunia nyingine kabisa :sick: kuna vitu vingine waweza hisi kufa kufa flani

pesa siyo kila kitu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom