Wewe utakuwa umeoteshwa kulizungumzia tunda hili humu.Haya ndiyo mambo ambayo ninayaongelea mara nyingi kwamba elimu ambayo tunapewa nyumbani na mashuleni ni irrelevant,yaani haikidhi haja/mazingira tunayoishi,yaani haina maana.
Ukifuatilia kwa undani kwa nini tuliambiwa hivyo lazima utagundua kwamba kulikuwa na mkono wa mtu hapo.Wazazi wetu wamepigwa changa la macho kwa faida ya watu wachache.Sasa kwa nini nasema umeoteshwa;
Jibu;
Limao halikaushi damu,bali limao lina faida lukuki mwilini ambapo kama mtu,na hasa watoto,watatumia vizuri tunda hili basi kwa mtu/mtoto huyo kuumwa kwake ni hadithi.Hata leo ukianza kulitumia tunda hili ninakuhakikishia utarudi hapa kutoa ushuhuda.Unaweza ku google mwenyewe uone faida zake;
1.Huimarisha kinga ya mwili-vitamin C
2.Husafisha utumbo mpana,huzuia constipation-Dietary Fiber
3.Hutibu malaria,kipindupindu-Antibacteria
4.Huweka sawa pH ya damu-Limao hufanya damu iwe alkaline.
5.Husaidia mmeng'enyo wa chakula-Husaidia/huchochea kuzalishwa kwa nyongo
6.Huzuia magonjwa ya moyo na presha ya juu ya damu-pH balance,calcium,magnesium na potassium
7.Hutuliza homa na mafua
8.Huondoa sumu mwilini-alkaline blood/pH balance
9.Hutibu arthritis na Rheumatism-Husafisha damu na huondoa uric acid
10.Huondoa mikunjo kwenye ngozi
11.Huondoa maumivu ya kuumwa na nyuki,sunburn
12.Huboresha afya ya macho
13.Huzuia kuvuja kwa damu ndani ya mwili au puani
14.Huondoa makovu kwenye ngozi
Na mengine mengi madogomadogo.
-Kisukari(Type 1 diabetes) kwa heri(angalia;4,8)
-Cancer ya utumbo mpana kwa heri(angalia; 2)
-Cancer yoyote kwa heri kama utakuwa na tabia ya kunywa maji ya limao(angalia;2,4,8)
-Kipindupindu kwa heri kama una tabia ya kunywa maji ya lima kila asubuhi(angalia;1,3)
-Soko la dawa za malaria litashuka kama watu watakuwa wanatumia maji ya limao(angalia;1,3)
-Kwa watu wenye maumivu ya magoti huweza kupata nafuu kwa kunywa maji ya limao tu na kusahau dawa za hospitalini(angalia;9)
-Kwa kina dada warembo;kwa kutumia limao tu wataepukana na vipodozi vyenye sumu ili kungarisha ngozi zao(angalia;10,14)
Yaani usiende mbali sana,chukulia cancer,kisukari na malaria pekee.Kama watu watapenda kutumia maji ya limao mara kwa mara kwenye maisha yao ina maana soko la dawa za cancer,kisukari na malaria kwisha habari yake.Limao ni tunda tulilolizoea sana lakini hatujui faida zake,tumelidharau kwa sababu ya mazoea.
Na hivi ndivyo baadhi ya vitu ambavyo viko kwenye mlolongo wa mambo ninayotaka wana JF wenzangu wajue.Ni muhimu sana hili tunda,dharau tu na mazoea ndivyo vinatuathiri.
Kwa mfano;Mtu kama anaumwa ugonjwa wa joints(magoti yanauma/yamevimba nk),ukimpa maji ya limao kila asubuhi ni tiba tosha.Ukitaka kukata mzizi wa fitina unaweza kujumlisha tiba.Limao+mafuta ya nazi/olive oil+tumeric(bizari)+tangawizi+celery,hapo utakuwa umemaliza kabisa.Lakini watu wanahangaika kwa kukosa uelewa.
Malaria,cancer,kisukari na mengineyo vivyohivyo.Hapo ndipo utakapoona kwamba vitu vingi tunavyovijua sasa tumebebeshwa/irrelevant.Waliotudanganya wasingependa tujue ukweli huu kwa kuwa hakutakuwa na soko tena.Kibaya zaidi tiba kama hizi hawawezi kuzi patent.