Willard Jonnes
JF-Expert Member
- Apr 26, 2020
- 361
- 750
Wakuu mfano mtu ameajiliwa TANAPA hili ni shirika la umma kupitia Utumishi portal je Ikitokea Kazi mfano TANESCO anaruhusiwa ku apply? Na je aki apply na akaitwa interview na akafaulu usaili.
Je, ataruhusiwa kuhama Tanapa na kwenda Tanesco?
Je, ataruhusiwa kuhama Tanapa na kwenda Tanesco?