realoctopus
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 3,232
- 1,981
HAhaaaa kumbe tuna chat na aina tofauti tofauti ya watu haahaa
maneno ya vijiweni hayo,hata kama mimi nimepitia maisha ya shida nitafanya juu chini nimtengenezee mwanangu maisha mazuri.Kama hujapitia maisha hayo au yanayofanana na kama Yale.. Kibongobongo hujui maisha hata kama unayo fedha...wee gasho tu
Mshukuru sana mungu wako kwa alichokwisha kukupa na muombe sana akuepushe na roho ya kiburi na dharau. Naamini huyu ndugu haipendi kabisa hii haliMkuu hicho chumba umekiona?![]()
Hata mbwa wangu anakaa kwenye banda zuri kuliko hicho chumba.
Huyu atakuwa yule wa buku 7 wa lumumba tu. Kama sio Lizabon basi atakuwa Jingalao.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ndukiiiii![]()
![]()
![]()
Mbona mshana jr kwangu mlaini sana hawezi niambia chochote