GY
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,279
- 126
madeye kugombea ubunge arumeru magharibi?
Mkurugenzi usimamizi wa rasilimali wa mamlaka ya mawasiliano Tanzania ambaye pia ni kamanda wa umoja wa vijana CCM wilaya ya Arumeru ambaye pia ni mlezi wa UWT wilaya ya Arumeru, Goodluck Ole Medeye, alipokua akizungumza na wazee wa mila mara baada ya kumletea ombi ya kumuomba agombanie ubunge wa Jimbo la Arumeru magharibi. Picha na mdau Woinde Shizza wa Arusha.
Mkurugenzi usimamizi wa rasilimali wa mamlaka ya mawasiliano Tanzania ambaye pia ni kamanda wa umoja wa vijana CCM wilaya ya Arumeru ambaye pia ni mlezi wa UWT wilaya ya Arumeru, Goodluck Ole Medeye, alipokua akizungumza na wazee wa mila mara baada ya kumletea ombi ya kumuomba agombanie ubunge wa Jimbo la Arumeru magharibi. Picha na mdau Woinde Shizza wa Arusha.
source: Michuziblogspot