Kirikou Wa Kwanza
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 3,564
- 1,992
Nimepanga kwenye nyumba moja hapa Mbezi Makonde, nadaiwa kodi ya mwezi mmoja. Nimemwambia baba mwenye nyumba anivumilie kidogo, kaitikia ndio ajabu kila akiniona ananiimbia taarabu.
Je, huu ni uungwana?
Je, huu ni uungwana?
Last edited: