asanteelimu2016
JF-Expert Member
- Sep 23, 2016
- 248
- 146
Habari zenu
Mwenzenu huwa najisikia aibu sana lakini ni vile nimewahi kuona rafiki yangu akiwa ameibiwa na kibanda cha tigopesa fulani kama laki mbili hivi wakati alipoenda kutoa milioni mbili, hii ikanifanya niwe makini zaidi.
Ni sawa au ni kutokujua au ni ushamba wa mwendokasi NINAPOTOA FEDHA KWENYE ATM ni lazima nizihesabu?
Nimekuwa nikihesabu fedha kila ninapotoa kwenye mashine za atm kuhakikisha kama zimetimia.
Mwenzenu huwa najisikia aibu sana lakini ni vile nimewahi kuona rafiki yangu akiwa ameibiwa na kibanda cha tigopesa fulani kama laki mbili hivi wakati alipoenda kutoa milioni mbili, hii ikanifanya niwe makini zaidi.
Ni sawa au ni kutokujua au ni ushamba wa mwendokasi NINAPOTOA FEDHA KWENYE ATM ni lazima nizihesabu?
Nimekuwa nikihesabu fedha kila ninapotoa kwenye mashine za atm kuhakikisha kama zimetimia.
