ibra87
R I P
- Jul 22, 2015
- 5,614
- 5,360
Sivui hovyo hovyo just mmoja tu whom namjua well
Nikajua upo mwenyewe niruke pm fasta
Sivui hovyo hovyo just mmoja tu whom namjua well
mi nkadhani mkilia hivyo ndo mnaenjoy ati!!!
Weee mtu anasikika kabisa kuwa anaumia
Weee mtu anasikika kabisa kuwa anaumia
nadhani binti mpaka sasa atakuwa anawaogopa wanaume
hahha itakuwa alikula vitu vya mollis... hapo lazima avilipie ata kwa maumivu!!!
Weee mtu anasikika kabisa kuwa anaumia
Yaan maumivu yake umeyasikia au ndo umeota pia kwamba anaumia
Miss u
Hahaa nimejaribu kukaa kwenye nafasi yake nimejisikia ovyo kweli...miss u too hajambo babu?
Hahaa nimejaribu kukaa kwenye nafasi yake nimejisikia ovyo kweli...miss u too hajambo babu?
Weee mtu anasikika kabisa kuwa anaumia
Mbakaji mkubwa pambaf zake...ama sivyo alikuwa na ugomvi na huyo binti
UPDATES
Binti mwenyewe alifariki akiendelea kupokea matibabu. Madume wawili ndio walikuwa wakimbaka msichana huyo ambaye alikuwa mtoto wa shule.
Inasemekana walikuwa majirani wa msichana. Kesi bado iko kortini.
Huo ni ubakaj mollis katumia force na the gal was shouting thou sio kwa sauti kivile
Weee mtu anasikika kabisa kuwa anaumia