Je, huu ni mwanzo wa Tanzania kuporomoka kiuchumi?

Dah fisadi kuu anatisha!!!!! Hivi waziri Mpangi anapitaga humu kwenye midahalo kama hii?
 
Bandari kukosa mizigo isyolipiwa kodi kuna ubaya? Au kunaweza kuwa kiashiria cha nchi kuporomoka kiuchumi? Tutayasikia mengi!
 
Jitihada kubwa zinafanyika ili nchi iendeshwe kwa mtindo wa 'business as usual' Ni kasehemu ka watu walioguzwa na kuathiriwa ba haya mabadiliko na wanajitahidi kuyazuia'
 
Ntakesha nikifanya hivo. Labda nikuulize tu wewe - kudumaa kwa sector ya usafiri wa anga na biashara kuwa ngumu mtaani umevipima kwa viashiria gani? Na unipe na ufanano na vipindi vilivopita.
mambo ya uchumi achia wachumi sasa Biashara kuwa ngumu Mtaani unataka ipimwe kwa vipimo gani au unataka pepa iliyoandikwa na Profesa ndio uaamini
 
Ulizoandika ni Story tu! Tumaini la kufanikiwa kiharali kwa sasa ni kubwa kuliko ilivyo kuwa huko nyuma. Tukazeni wanangu tutoboe!!
 
we
hivi unajielewa ww mbona unajijibu mwenyewe!! hata kama serikali ilikuwa inaweka Tsh 1 kwenye bank A pindi itakapoondoa hiyo shs 1 lazima itakuwa na athali ya kiuchumi ya Tshs 1.
 
ata akifanya ivyo na bado 2 hutamwamin we fanya kama tetes flan iv af ztafutie ukwel
 
kuna miki2 uku imejvka kujua kwing kumbe inautando kwenye fikra zao m2 kaandka maon yake anaomba anayeyajua kiundan amsaidie af mik2 uku inaanza kukrtcz haya n mawazo ya m2 hupasw kumpnga ila unaweza kumshaur 2 ili kumsaidia
 
hata mm nimeona kua hali ngumu balaa, huku baadhi ya wafanyakazi wa serikali walio ajiriwa hiv karibuni kusimamishwa, baadhi hotel kua hostel, na napia kila mfanya biashara analalamika kua hela hamna, hata baadhi ya benki zilisitisha mikopo, huku bei ya vitu kupanda bei.
 
Umeona hayo ndo ikonomiki indiketa
 
Hakuna daktari aliye futiwa posho wizara imesha kanusha!

Kuhusu mishahara ya madaktari kumefanyika marekebisho ambapo madaktari wa bugando walikuwa wanalipwa pesa zaidi kuliko wa hospitali nyingine za MOU na serikali kwa hiyo kusema madaktari wa hospitali binafsi wamepunguziwa mshahara 30% ni uongo kwani si kila hospitali binafsi hiko ndani ya MOU hivyo nakuomba uache upotoshaji!


Watanzania wana miliki viwanda vya kutengeneza uongo-JK.
 
Umeandika siasa tu.. zaidi ya asilimia 80 ya ulivyoviandika hutaweza kuvitolea ushahidi. Bali umeandika tu kwa kusikia huko vijiweni.
Hivi wewe upo nje ya nchi nini..?
Maana tuliopo nchini kila mtu anaisoma namba.
Sometimes jaribu kuwa mkweli uwe huru acha unafiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…