Co huo kiongozWakuu kuna mti hapa nyumbani baadhi wanasema ni mti wa mlonge.
Nataka kujiridhisha hapa kupitia kwa wenye uzoefu na mti huu.
Je huu ni mti wa mlonge au ni mti gani?View attachment 1061100View attachment 1061101View attachment 1061103
Wema ni akiba.
Huo sio Mlonge mkuu tazama post #3 ndo mlongeWakuu kuna mti hapa nyumbani baadhi wanasema ni mti wa mlonge.
Nataka kujiridhisha hapa kupitia kwa wenye uzoefu na mti huu.
Je huu ni mti wa mlonge au ni mti gani?View attachment 1061100View attachment 1061101View attachment 1061103
Wema ni akiba.
Sio mlonge huo mkuu,mtakuja kufa na hayo mambo yenu ya kujifanya waganga.Wakuu kuna mti hapa nyumbani baadhi wanasema ni mti wa mlonge.
Nataka kujiridhisha hapa kupitia kwa wenye uzoefu na mti huu.
Je huu ni mti wa mlonge au ni mti gani?View attachment 1061100View attachment 1061101View attachment 1061103
Wema ni akiba.
Matunda yanadhihirisha huo in mlonge, usimpoteze mwenzio.Huo sio Mlonge mkuu tazama post #3 ndo mlonge
HUU NDIO MLONGECo huo kiongoz
N huu[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1061106
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo mti aliouonesha Mleta mada sio MLONGEMatunda yanadhihirisha huo in mlonge, usimpoteze mwenzio.
Sio mlonge uwo ukiacha na matunda tazama majani yake makubwa tofauti na mlonge majani yake huwa madogoMatunda yanadhihirisha huo in mlonge, usimpoteze mwenzio.