sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
Sasa NI-HASA na wala SI -SIASA ukishuhudia kiongozi mwandamizi anapanda jukwaani na mtoto kujitambulisha yeye si bwabwa...........!!! huku Maalim naye anamuandama mzee Tendwa, muda si muda mwanasheria mkuu anamalizia. upande wa pili ukisikiliza hoja za HAMADI Rashid (...). nawauliza wenzangu mnayefuatilia timbwilitimbwili hili je huuu ndo mwisho wa CUF.?