Je, hizi ni dalili za kutunga mimba?

Je, hizi ni dalili za kutunga mimba?

Nimesex na dem wangu katika siku za hatari,baada ya siku kadhaa hv anaonesha dalili flan hv ambazo sielewi kma ndo tayar kashanasa au vp
Analalamika maumivu ya tumbo chini ya kitovu,uchovu na kulegea mwili,kutokwa na ute ute kwenye uke ambao unavutika,chuchu kubadilika rangi na kuwa nyeusi,kutojisikia hamu ya kula
Naomba kujuzwa zaidi viashiria vya dalili hizi

Sent using Jamii Forums mobile app
kabla ya mechi alikwambia yuko siku za hatari?
kama hajakwambia yaweza kuwa tayari alisha nasa anakuletea na amechagua wa kulea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mhhh sidhan kma ni bleed coz nikimuuliza anasema haoni dalili za kubleed,kwan kwa wiki moja tu unaweza kugundua mimba?

Sent using Jamii Forums mobile app
huyo. tayari anza kununua nepi na pampasiii baada ya 9 tu uanze kunepisha....

hakuna jinsi tena maelezo mengi ya kutak kukwep hatutaki au unataka uanze kusem huhusiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesex na dem wangu katika siku za hatari,baada ya siku kadhaa hv anaonesha dalili flan hv ambazo sielewi kma ndo tayar kashanasa au vp
Analalamika maumivu ya tumbo chini ya kitovu,uchovu na kulegea mwili,kutokwa na ute ute kwenye uke ambao unavutika,chuchu kubadilika rangi na kuwa nyeusi,kutojisikia hamu ya kula
Naomba kujuzwa zaidi viashiria vya dalili hizi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kipimo cha mimba ni elfu 2 tu na wala haichukui dakika 5 kujua, kwa nini uhangaike hivyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesex na dem wangu katika siku za hatari,baada ya siku kadhaa hv anaonesha dalili flan hv ambazo sielewi kma ndo tayar kashanasa au vp
Analalamika maumivu ya tumbo chini ya kitovu,uchovu na kulegea mwili,kutokwa na ute ute kwenye uke ambao unavutika,chuchu kubadilika rangi na kuwa nyeusi,kutojisikia hamu ya kula
Naomba kujuzwa zaidi viashiria vya dalili hizi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ingiza dushe ukeni. Ukiona inanoga sana ujue mimba tayari. Hata usiwaze, uje tukupe jina la mtoto wenu mtarajiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom