da viper
Senior Member
- Dec 3, 2013
- 158
- 43
Nimefanya mapenzi na mwanamke wangu katika siku za hatari, baada ya siku kadhaa hivi anaonesha dalili fulan hivi ambazo sielewi kama ndiyo tayari kashanasa au vipi.
Analalamika maumivu ya tumbo chini ya kitovu, uchovu na kulegea mwili, kutokwa na ute ute kwenye uke ambao unavutika,chuchu kubadilika rangi na kuwa nyeusi, kutojisikia hamu ya kula.
Naomba kujuzwa zaidi viashiria vya dalili hizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Analalamika maumivu ya tumbo chini ya kitovu, uchovu na kulegea mwili, kutokwa na ute ute kwenye uke ambao unavutika,chuchu kubadilika rangi na kuwa nyeusi, kutojisikia hamu ya kula.
Naomba kujuzwa zaidi viashiria vya dalili hizi
Sent using Jamii Forums mobile app