Jicho langu
Member
- Nov 11, 2011
- 69
- 3
Kuiga kwa matukio ya vyama vingine na wao kufatiliza je ni kwamba wameishiwa mipango Mf CDM walipoomba kuonana na rais kuh katiba nao walifanya hivo Pili NCCR walivomtimua KAFULILA baada ya wiki nao wamemtimua HAMAD na wenzie.......!!