Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
Halafu after week untafute nitakua na good newsWacha we! Kumbe mpole!!
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Halafu after week untafute nitakua na good newsWacha we! Kumbe mpole!!
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

daaaanh boss wangu punguza hasiraSidhani kama kuna mwanamke dunia hii mwenye sifa za kuweza kuvishwa pete na mimi, labda itokee nimemuumba mwenyewe.
Basi ondoa shaka,nafanya maandalizi nikupaishe Seychelles ukavinjari kwa raha zako,ule matango pori kwa divai na bata mzinga wa kubanika.Bado nasubiri.
daaaanh boss wangu punguza hasira
Hizi swaga nilishazistukia aisee!! Muulize Heaven Sent kilichonikuta.Basi ondoa shaka,nafanya maandalizi nikupaishe Seychelles ukavinjari kwa raha zako,ule matango pori kwa divai na bata mzinga wa kubanika.
Hebu weka wazi mamii,maana naona unataka kuchomoa aisee.Hizi swaga nilishazistukia aisee!! Muulize Heaven Sent kilichonikuta.
Ok nasubiri majibu mamii.Yaani nilidanganywa hivyo hivyo! Kilichofuata itv ngoja doughter atakuelezea mie nipo tu najiburuza.
Umkome mzee wangu, mbona humuachi?Si ile ya ufataki.
He hee fanya kuorodhesha mahitaji yako w/end ijayoKiruuu hapo najua lazima pesa zihusike
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Haha utapigwa triple triple sasa hiviHizi swaga nilishazistukia aisee!! Muulize Heaven Sent kilichonikuta.
Mmh naomba na mimi niorodhesheHe hee fanya kuorodhesha mahitaji yako w/end ijayo
Mmmh me mtu kipande?We mtoto we hebu kaa kimya watu wazima wakiwa wanaongea.
Dubai utaiona usingiziniYaani yule mzee yule sina hamu nae tena, maana dubai ilikoishia![]()