masandare
JF-Expert Member
- Mar 9, 2014
- 671
- 580
Simuuzii coz kila jioni anakuja kula na haachi ya matumizi anategemea mimi ndio nimlishe.
Labda kwa vile anajua mumeo anatoa hivyo hana sababu ya kuongeza!
Simuuzii coz kila jioni anakuja kula na haachi ya matumizi anategemea mimi ndio nimlishe.
Deeboyfrexh pole mkuu but ukimnyoosha unaweza kujikuta katika nyumba za serikali utulivu unahusika hapo .