Je! Hii taarifa ya TCU kuhusu Recognition of Prior Learning(RPL) ina-ukweli wowote?

immasakha

JF-Expert Member
Jun 4, 2016
489
281
TANGAZO MUHIMU!

TCU imetambulisha mtihani unaoitwa "Recognition of Prior Learning(RPL)" kwa wale wote waliokosa vigezo vya kujiunga na degree

Mtihani unafanyika chini ya TCU kwa vituo vilivyoainishwa, na kwa wale watakaofaulu mtihani watapata nafasi yakujiunga na degree chuo chochote hapa nchini kwa mwaka huu wa masomo

Muda wa maombi ni kuanzia 01.06.2017 mpaka 24.06.2017

Kwa Maelezo zaidi tafadhali piga 0759009281, 0655414145 au 0778888960

Tusambaze ujumbe kwa ndugu zetu walioshindwa kusoma degree kwa kutokidhi vigezo, hii ni FURSA ya kipekee!

Karibuni Sana

Reg,
The Open University of Tanzania.
 
TANGAZO MUHIMU!

TCU imetambulisha mtihani unaoitwa "Recognition of Prior Learning(RPL)" kwa wale wote waliokosa vigezo vya kujiunga na degree

Mtihani unafanyika chini ya TCU kwa vituo vilivyoainishwa, na kwa wale watakaofaulu mtihani watapata nafasi yakujiunga na degree chuo chochote hapa nchini kwa mwaka huu wa masomo

Muda wa maombi ni kuanzia 01.06.2017 mpaka 24.06.2017

Kwa Maelezo zaidi tafadhali piga 0759009281, 0655414145 au 0778888960

Tusambaze ujumbe kwa ndugu zetu walioshindwa kusoma degree kwa kutokidhi vigezo, hii ni FURSA ya kipekee!

Karibuni Sana

Reg,
The Open University of Tanzania.
Hivyo vigezo ni kama vipi kwa mfano!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom