Tumezoea kuona mtu akishika ktabu mkononi, na kutumia ubongo na macho kusoma na kutakafakali.Ukiangalia picha hiyo ni kinyume chake sehemu ya kichwa imeenda mkononi na na kitabu ambacho kilitakiwa kishikwe mkononi, kimeamia kichwani.
hakuna kitu kinachodumu milele, kuna mabadiliko makubwa sana (evolution) yatatokea miaka 500 ijayo.
1. Baadhi ya binadamu watapadilika kuwa samaki,na samaki watabadilika kuwa binadamu.
2. Baadhi yetu tutabadilika na kuwa na kichwa kimoja chenye macho matatu
3. Binadamu watakuwa wanauwezo wa kula mara moja tu kwa mwezi
4. kwenda mwezini itakuwa kama kwenda apo kariakoo kutembea .