The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Habari wadau wa JF
Kuna jirani yetu ambaye tunakaa naye same compound alizaa watoto wawili bahati mbaya wote wakafariki kabla hawajafikisha hata umri wa miezi sita na wote walifariki kwa ugonjwa wa animonia sasa baada ya kushika mimba ya tatu ikawa imeamriwa huyu dada aende akakae kwa mama mkwe wake Dodoma ili apate uangalizi mzuri mume wa huyu dada yupo hapa Dar baada ya huyu dada kuondoka kwenda kwa mama mkwe akaletwa mdogo wake huyo dada ili aje kukaa hapo kwa mumewe na ni takribani mwaka mmoja sasa tokea yupo hapo, huyu mdogo wake amekuwa akimpikia na akimfulia nguo mume wa dada yake, Je kwa muda wa mwaka mmoja aliokaa hapo na mume wa dada yake huyu binti atakuwa anajisikiaje? Na je ni sawa kumuacha mumeo kwa muda wa mwaka mmoja ukaenda kukaa kwa mama mkwe na huku nyuma ukimuacha mumeo na mdogo wako wa kike nyumbani? Isije ikatokea kisa kama alichotuhadithia FirstLady cha Pain Over My Sister's Pregnancy For My Husband, Je hii ni sawa?
Kuna jirani yetu ambaye tunakaa naye same compound alizaa watoto wawili bahati mbaya wote wakafariki kabla hawajafikisha hata umri wa miezi sita na wote walifariki kwa ugonjwa wa animonia sasa baada ya kushika mimba ya tatu ikawa imeamriwa huyu dada aende akakae kwa mama mkwe wake Dodoma ili apate uangalizi mzuri mume wa huyu dada yupo hapa Dar baada ya huyu dada kuondoka kwenda kwa mama mkwe akaletwa mdogo wake huyo dada ili aje kukaa hapo kwa mumewe na ni takribani mwaka mmoja sasa tokea yupo hapo, huyu mdogo wake amekuwa akimpikia na akimfulia nguo mume wa dada yake, Je kwa muda wa mwaka mmoja aliokaa hapo na mume wa dada yake huyu binti atakuwa anajisikiaje? Na je ni sawa kumuacha mumeo kwa muda wa mwaka mmoja ukaenda kukaa kwa mama mkwe na huku nyuma ukimuacha mumeo na mdogo wako wa kike nyumbani? Isije ikatokea kisa kama alichotuhadithia FirstLady cha Pain Over My Sister's Pregnancy For My Husband, Je hii ni sawa?