Ishmael
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 15,039
- 6,018
Wanasayansi wamegundua kwamba wanaume walio wakarimu na wanaowasikiza wake zao kidole chao cha nne ni kirefu ikilinganishwa na kidole chao cha pili.
Je, unakubaliana na utafiti huu uliofanywa na wanasayansi katika chuo kikuu cha McGill University nchini Canada.
cc: MziziMkavu
Last edited by a moderator: