Kimbweka JF-Expert Member Jul 16, 2009 8,597 1,683 Nov 19, 2011 #1 Jambo hili limenishangaza . Je ni jambo la kawaida kwa mwanaume kutoa mbegu ambazo zimechanganyika na damu?. Ama kuna hitilafu katika system ya uzazi?
Jambo hili limenishangaza . Je ni jambo la kawaida kwa mwanaume kutoa mbegu ambazo zimechanganyika na damu?. Ama kuna hitilafu katika system ya uzazi?
V valid statement JF-Expert Member Sep 18, 2011 2,851 868 Nov 19, 2011 #2 Ulikuwa unafanya masterbation nini? Kama ndio, basi we ushaanza kujiua viungo va uzazi.
Kimbweka JF-Expert Member Jul 16, 2009 8,597 1,683 Nov 19, 2011 Thread starter #3 valid statement said: Ulikuwa unafanya masterbation nini? Kama ndio, basi we ushaanza kujiua viungo va uzazi. Click to expand... Mkuu inaelekea huna uzoefu na mambo flani. Siku hizi huwa tunazitua hata usoni kwa mwenza kwa hiyo zinaonekana.
valid statement said: Ulikuwa unafanya masterbation nini? Kama ndio, basi we ushaanza kujiua viungo va uzazi. Click to expand... Mkuu inaelekea huna uzoefu na mambo flani. Siku hizi huwa tunazitua hata usoni kwa mwenza kwa hiyo zinaonekana.