M mtimatawi Senior Member Joined Apr 28, 2013 Posts 112 Reaction score 38 Jan 7, 2014 #141 nawewe kakope hela nunua kiwanja , andika jina lako annzakujenga . mtakuwa na nyumba mbili katika ndoa yenu , yamkeo mtapangisha na yakwako mtakuwa mnaishi. mkeo anahaki kuandika jina lake kwa sababu mkopo ameandikwa jina lake .
nawewe kakope hela nunua kiwanja , andika jina lako annzakujenga . mtakuwa na nyumba mbili katika ndoa yenu , yamkeo mtapangisha na yakwako mtakuwa mnaishi. mkeo anahaki kuandika jina lake kwa sababu mkopo ameandikwa jina lake .