wazo lilikuwepo cha ajabu kipi mbona kuna makamu wa rais mmoja hapa bongo alikufa bila kujenga tulipanga mwaka jana ndio tununue hicho kiwanja mwaka huu tuanze uenzi yeye achukue mkopo tununue kiwanja mimi nichukue tuanze ujenzi tatizo jina lake kwenye hati kwa kiwanja cha kwanza ndani ya ndoa ,sure natakiwa kurudisha ukichwa wa mwanmmeHahahahahahahahaha duh hii nayo kali. Mimi nimejiuliza mwanaume miaka 5 hukuwa na wazo la kiwanja sasa kinanunuliwa kwa mkopo unaanza kupiga kelele sijui tushauri nini hapo. Inawezekana kabisa mmama amejua huyu mbaba hatakaa anunue kiwanja ni heri yeye akope pesa na kununua. Mkuu mtoa mada unachoweza kufanya ni omba kulipa deni ie huo mkopo na uombe hicho kiwanja kiandikwe majina yenu au majina ya watoto na huo ndio ukichwa wa mwanaume.
haikatazwi mwanamke kumiliki mali mbona gari lina jina lake wala halinitishi mi hata daladala ntapanda incase sina hela ya mafuta au likiwa bovu,nyumba ni sensitive issue tena nyumba ya kwanza ndani ya ndoa pale ndio unapopatia usingizi wako tatizo sio kununua tatizo sjui dhamira yakekwa maana hiyo mwanamke yeye kaumbiwa shida tu ndo mwenye kustahili kutimliwa na kubaki bila chochote? Hata mlalamike saivi wote 2napambana kuvitafta bana
nilijua kama atachukua mkopo wote tumeajiliwa ilikuwa ni kiwanja cha bei poa tukakualiana achukue mkopo kinunuliwe fasta na mimi mwaka huu nichukue tuanze ujenzi tatizo ni jina lake kuapia kwenye document instedy majina yetu wote au watoto nini dhamira yake au bahati mbaya mimi sijui
Unajua hapa Jf na kwingineko kuna katabia ka kuvindicate dada zetu wa Kichagga hasa pale mambo yanapokuwa ndivyo sivyo.
Sijapenda daana kuhusisha umiliki wake wa kiwanja na kabila lake....wakati unamuoa hukujua kabila lake? Ulilazimishwa mkuu? Suala la kuandika jina lake angeweza kufanya mwanamke yeyote anayejitambua and honestly sioni tatizo hapo zaidi ya ww kutokujiamini.
Ila hili la kusema eti kwa vile katokea KNjaro ndo linanipa shida kidogo apa....huko ndani mnaishije mnapeana unyumba kweli?
Cc Asprin Heaven on Earth gfsonwin Ablessed neggirl Smile RR miss chagga Munkari DEMBA
tupo kwenye ndoa halali ya kanisani huu mwaka wa tano,
mimi na mke wangu wote ni wangu wote ni wafanyakazi na tumejaaliwa kupata watoto wawili ,tunaishi nyumba ya kupanga na kila mtu anagari yake ya kwendea kazini,mwaka jana mke wangu alichukua mkopo benki akataka kununua kiwanja ili tuanze ujenzi wa kibanda chetu,kilichonishangaza kwenye mkataba wa kuuziana hicho kiwanja aliandika jina lake
swali
je nichangie kwenye ujenzi wa nyumba hiyo?
je nani atakuwa mmiliki wa nyumba hiyo wakati makaratasi yana jina lake?
je hawezi kunifukuza kwenye nyumba hiyo siku mmoja ikizingatiwa anatoka kulee kwenye mlima mrefu kuliko yote afrika?
je nitapata amani ya ndoa kulala kwenye nyumba ambayo kiwanja kina jina la mke,usingizi upo hapo
Unajua hapa Jf na kwingineko kuna katabia ka kuvindicate dada zetu wa Kichagga hasa pale mambo yanapokuwa ndivyo sivyo.
Sijapenda daana kuhusisha umiliki wake wa kiwanja na kabila lake....wakati unamuoa hukujua kabila lake? Ulilazimishwa mkuu? Suala la kuandika jina lake angeweza kufanya mwanamke yeyote anayejitambua and honestly sioni tatizo hapo zaidi ya ww kutokujiamini.
Ila hili la kusema eti kwa vile katokea KNjaro ndo linanipa shida kidogo apa....huko ndani mnaishije mnapeana unyumba kweli?
Cc Asprin Heaven on Earth gfsonwin Ablessed neggirl Smile RR miss chagga Munkari DEMBA
Unajua hapa Jf na kwingineko kuna katabia ka kuvindicate dada zetu wa Kichagga hasa pale mambo yanapokuwa ndivyo sivyo.
Sijapenda daana kuhusisha umiliki wake wa kiwanja na kabila lake....wakati unamuoa hukujua kabila lake? Ulilazimishwa mkuu? Suala la kuandika jina lake angeweza kufanya mwanamke yeyote anayejitambua and honestly sioni tatizo hapo zaidi ya ww kutokujiamini.
Ila hili la kusema eti kwa vile katokea KNjaro ndo linanipa shida kidogo apa....huko ndani mnaishije mnapeana unyumba kweli?
Cc Asprin Heaven on Earth gfsonwin Ablessed neggirl Smile RR miss chagga Munkari DEMBA
Unajua hapa Jf na kwingineko kuna katabia ka kuvindicate dada zetu wa Kichagga hasa pale mambo yanapokuwa ndivyo sivyo.
Sijapenda daana kuhusisha umiliki wake wa kiwanja na kabila lake....wakati unamuoa hukujua kabila lake? Ulilazimishwa mkuu? Suala la kuandika jina lake angeweza kufanya mwanamke yeyote anayejitambua and honestly sioni tatizo hapo zaidi ya ww kutokujiamini.
Ila hili la kusema eti kwa vile katokea KNjaro ndo linanipa shida kidogo apa....huko ndani mnaishije mnapeana unyumba kweli?
Cc Asprin Heaven on Earth gfsonwin Ablessed neggirl Smile RR miss chagga Munkari DEMBA
Miaka 5 yote hamjaaminiana? Kwanza inawezekana yeye anakuamini, wewe tu humuamini. Angalia maana siku si nyingi utaanza kuwaza kama hao watoto wawili ni wako...
daaa... maisha ya kuviziana, utafikiri mko siasani ..hehe heeee
kumbuka huo mkopo tulishauriana yeyey achukue mwaka jana anunue kiwanja na mimi nichukue mwaka huu tuanze ujenzi umenipata,dhamana ni kazi zetu
tulishirikiana process zote isipokuwa hatukujadili jina gani litumike alipotoka bank akapitia kwa mwanasheria akadraft mkataba wenye jina lake na muuzaji,kama mlikubaliana kukopa, natumaini hata kwenye kutafuta kiwanja ulishiriki.. kama hukushiriki what happened??
Nachokiona hapa, kuna shida katika mahusiano yenu na ndio iliyopelekea kuvunjika kwa ushirikishwaji.
we unafikiri kuishi na dada wa kichaga ni kama kuishi na mwanamke wa kizaramo au kimakonde sifagilii ukabila ila wanawake wa kichaga wengi wamesoma na wanatiming kali wanaona mbali either in a positive or negative way so akili zaidi inahitajika kuishi naoKaizer asante kwa kuniita. Mleta mada atutake radhi wadada wa kichaga lolz!
Kwa style hii anaonyesha wazi hana imani na mkewe, but nachofikiri ni vyema wao kuzungumza kabla huo ujenzi haujaanza, sio kuhusiana na kiwanja tu bali kuhusiana na mali za familia zitakazonunuliwa na yeyote kati yao yatumike majina yao yote au iweje! To me, dada yangu huyo kama alijua nyumba ni ya familia alipaswa aandike majina yote. Huo ndio mtazamo wangu.
Baadhi ya wanaume ni watu wa kujishuku sana usipokuwa makini na vitu hivi jamaa anaanza kujishtukia.
Kwenye mlima mrefu kuliko yote Afrika,umeshajua ni wapi? Haya tupe ushauri wako sasaUmesema anatoka wapi?
Hebu tupe mfano mmoja na wengine waelewe unachoongea maana wengine wanamuona zobaUsichangie chochote kwenye ujenzi, nunua kiwanja chako, anza ujenzi wa nyumba yako.
Nina mafano hai katika hili. huwa napita naiangalia hiyo nyumba roho inaniuma sana ila nilishasamehe
Ila usithubutu
tulishirikiana process zote isipokuwa hatukujadili jina gani litumike alipotoka bank akapitia kwa mwanasheria akadraft mkataba wenye jina lake na muuzaji,
we unafikiri kuishi na dada wa kichaga ni kama kuishi na mwanamke wa kizaramo au kimakonde sifagilii ukabila ila wanawake wa kichaga wengi wamesoma na wanatiming kali wanaona mbali either in a positive or negative way so akili zaidi inahitajika kuishi nao