GgNa Kocha wa Makipa Raia wa Mombasa Kenya Razaq Siwa.
GgNa Kocha wa Makipa Raia wa Mombasa Kenya Razaq Siwa.
Mohammed Hussein Tshabalala anahujumu "Visit Tanzania" na anahujumu "Royal Tour" ya Mama yetu Samia. Hii haikubaliki, Hata kidogo!Mchezaji wa Simba SC Mohammed Hussein Tshabalala hakika anajua sana 'Kuwakoga' Wachezaji wa Yanga SC akina Mayele na Morisson.
Yaani Mwenzao yuko Mapumzikoni nchini Dubai ( UAE )
Kumbuka hata manara alienda kula Bata huko huko alikoenda mchezaji wako pendwaMchezaji wa Simba SC Mohammed Hussein Tshabalala hakika anajua sana 'Kuwakoga' Wachezaji wa Yanga SC akina Mayele na Morisson.
Yaani Mwenzao yuko Mapumzikoni nchini Dubai ( UAE ) na Mkewe na Mtoto wao lakini Wenzake akina Fiston Mayele na Bernard Morrison wa Yanga SC tunapishana nao Kariakoo na Tandale Vibanda vya 'Mishikaki' tena Wakiigombea na hata Kuikota chini ile ambayo huwaponyoka Midomoni mwao?
Je, hii ni Haki?
Uzuri tarehe zako doctor alikwisha tuambia . kikubwa dose uimalize
Kama hilo ni kweli,Mchezaji wa Simba SC Mohammed Hussein Tshabalala hakika anajua sana 'Kuwakoga' Wachezaji wa Yanga SC akina Mayele na Morisson.
Yaani Mwenzao yuko Mapumzikoni nchini Dubai ( UAE ) na Mkewe na Mtoto wao lakini Wenzake akina Fiston Mayele na Bernard Morrison wa Yanga SC tunapishana nao Kariakoo na Tandale Vibanda vya 'Mishikaki' tena Wakiigombea na hata Kuikota chini ile ambayo huwaponyoka Midomoni mwao?
Je, hii ni Haki?
Siyo fair zaidi wa wachezaji wenzake wa Simba ambao wamebaki humohumo wanamoonekana hao wa Yanga.Mchezaji wa Simba SC Mohammed Hussein Tshabalala hakika anajua sana 'Kuwakoga' Wachezaji wa Yanga SC akina Mayele na Morisson.
Yaani Mwenzao yuko Mapumzikoni nchini Dubai ( UAE ) na Mkewe na Mtoto wao lakini Wenzake akina Fiston Mayele na Bernard Morrison wa Yanga SC tunapishana nao Kariakoo na Tandale Vibanda vya 'Mishikaki' tena Wakiigombea na
Sasa Yanga huko ndo wanabakuana hadi wakaamua kuvujisha ,kisa kugombania bwana, mchezaji na kiongozi.Msifurahie mchezaji wenu anapokwenda mapumziko Dubai, unamjua anayemfadhili na unajua uyo aliye mfadhili analipwa Nini?
Kipindi chanyuma kunamchezaji Anaitwa Tomas Karume aliwahi kuiaibisha klabu ya Simba kule gest Morogoro.
Mambo yalianza taratibu kama hivi.
Sio huyo tyuij, wako wengi pale. Wanakulanaaa.Kama Kabwili wazee wa yanga walivyomharibu
Hebu shusha watatu hapa hao ngombe watamu wa utopoloSio huyo tyuij, wako wengi pale. Wanakulanaaa.
Tudondoshee mkasa kamili mkuuMsifurahie mchezaji wenu anapokwenda mapumziko Dubai, unamjua anayemfadhili na unajua uyo aliye mfadhili analipwa Nini?
Kipindi chanyuma kunamchezaji Anaitwa Tomas Karume aliwahi kuiaibisha klabu ya Simba kule gest Morogoro.
Mambo yalianza taratibu kama hivi.