"Je,hii inawezekana?"

"Je,hii inawezekana?"

Joined
Jun 29, 2013
Posts
38
Reaction score
1
Nina mpenzi wangu tuliyetoka naye mbali na tunapendana sana,toka kidato cha pili hadi sasa niko kidato cha sita;japo yeye hakufanikiwa kufaulu kuendelea na A'level.Je,huu uchumba ni sahihi? Na inawezekana mimi kuja kumuoa?!"
 
ukifika chuoni uone zile skinjeans na kila dizaini ya watoto mwakemwake hautojiuliza maswali kama hayo maana majibu yatakuja automatically.PIGA SHULE KIJANA ukitoka hapo uingie jkt kidogo kuboresha ubongo.
 
Mwanangu wa moyoni, hebu tulia kwanza usome.

Iko hivi, urafiki ulionao unaweza kuwa wa permanent ana unaweza usiwe. kinachodetermine hilo ni aina ya mahusiano na msimamo wenu na pia upendo ulioko kati yenu. Nijuavyo kwasasa wewe huwez kupanga swala la kuoa kwasasa lakini hiyo haiguarantee kwamba huwez kuwa na mapenzi yenye future.

Pia huyu binti inategemea anamsimamo gani juu yako na je shughuli anazozifanya zinamfnya awe na msimamo gani juu yako. kumbuka kwamba wewe uko shule uta concetrate wenye shule zaid kama yy yuko home ni wazi kwamba ata concetrate kwenye mambo ambayo ni tofauti na unayofanya wewe.

kwangu mimi ningekushauri wewe usiuvunje urafiki ila uwe good friend na sio mapenzi kama mapenzi usome kwanza hadi umalize japo digrii moja. Wakati mko good friend akisema kampata mwenzie wewe mwachie ila kama hatapata basi ni waazi kwamba ni wako.
 
Nina mpenzi wangu tuliyetoka naye mbali na tunapendana sana,toka kidato cha pili hadi sasa niko kidato cha sita;japo yeye hakufanikiwa kufaulu kuendelea na A'level.Je,huu uchumba ni sahihi? Na inawezekana mimi kuja kumuoa?!"

kama kweli uko kidato cha sita ebu "difain" uchumba..
 
^^
Ajuaye yajayo ni Mungu tu.
Fanya jambo sahihi kwa wakati sahihi.
^^
 
Kipi sio sahihi...vipi uite uchumba, mshatambulishana kwa wazee. Maliza masomo dogo tafuta kazi then talk
 
Nina mpenzi wangu tuliyetoka naye mbali na tunapendana sana,toka kidato cha pili hadi sasa niko kidato cha sita;japo yeye hakufanikiwa kufaulu kuendelea na A'level.Je,huu uchumba ni sahihi? Na inawezekana mimi kuja kumuoa?!"

Sijawahi kuona uchumba wa aina hii tangu nikue......walahi....jukwaa limevamiwa na watoto kizazi hiki lazima kiharibike
 
ukifika chuoni uone zile skinjeans na kila dizaini ya watoto mwakemwake hautojiuliza maswali kama hayo maana majibu yatakuja automatically.PIGA SHULE KIJANA ukitoka hapo uingie jkt kidogo kuboresha ubongo.

"Ahsante sana ndugu yangu Asnam,ushauri wako ni mzuri na nitaufanyia kazi.
 
kama kweli uko kidato cha sita ebu "difain" uchumba..

"Sawa,uchumba kama nijuavyo mimi"SIMPLY" ni Kipindi kilichopo kati ya mahusiano na ndoa.Pia ni kipindi ambacho wahusika wanapata muda wa kuchunguzana na kujuana tabia.
 
Kwa kuvumiliana, itawezekana. Nakushauri uku ukiwa unasoma uwe mjasiriamali ili uwe unamwezesha. La sivyo wenye mifuko minene uwa wanakwapua kama mwewe akwapuye kifaranga cha kuku. Ndipo raha na maumivu ya kubwaga utokea
Other ways cheza na school fees vizuri
 
Kwa kuvumiliana, itawezekana. Nakushauri uku ukiwa unasoma uwe mjasiriamali ili uwe unamwezesha. La sivyo wenye mifuko minene uwa wanakwapua kama mwewe akwapuye kifaranga cha kuku. Ndipo raha na maumivu ya kubwaga utokea
Other ways cheza na school fees vizuri

,thankx for your advice my friend.
 
Mzee kwa uzoefu ....hapo katikati kuna mambo mengi yatapita sana kabla ya ninyi kufika hata kwenye uchumba so nenda tu na hali iliyopo sasa hivi...usipate stress sana kuhusu hayo mambo...stress zako elekeza kusoma.....pengine nikwambie tu mimi nimesoma kiasai LAKINI HAMNA KITU KIZURI DUNIANI KAMA KUSOMA.....HAKUNA......HAKUNA KITU KIZURI KAMA KUWA BINADAMU MSOMI...SO SOMA SANA MKUU MENGINE YANAJIPANGA YENYEWE
 
Girlfrend au mchumba?

Hivi stages za kuingia kwenye mahusiano had ndoa yako vip mleta uzi?
 
Kwanini musiweze kuoana? Kufeli shule sio kufeli maisha. Alifocus kukupenda akasau shule. Jua ukimuacha kwa ajili ya mwanamke wa chuo kikuu, atajiona mjinga atarudia tena darasa na atafaulu tu nae atafika chuo. Mbaya zaidi mungu analaani alie acha kwa sababu za kijinga. Na kumbariki alie onewa. utajuta, subiri uone
 
Back
Top Bottom