David Peter Sembosi
Member
- Jun 29, 2013
- 38
- 1
Nina mpenzi wangu tuliyetoka naye mbali na tunapendana sana,toka kidato cha pili hadi sasa niko kidato cha sita;japo yeye hakufanikiwa kufaulu kuendelea na A'level.Je,huu uchumba ni sahihi? Na inawezekana mimi kuja kumuoa?!"