Je, haya ni Mapenzi ya kweli?

Je, haya ni Mapenzi ya kweli?

nyakandula

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
1,251
Reaction score
1,736
Mpenzi wangu hajawah kuniomba hata hela ya vocha since tumejuana tuko na almost 2 months na sijawahi kukuta simu yake inatumika usiku na mapenzi ameshanipa mara moja.

Je, hii ni ishara ya mapenzi ya kweli kwangu?
 
Mpenz wangu hajawah kuniomb hata hela ya vocha since tumejuan tuko na almost 2months na sijawah kukuta simu yake inatumika usiku na mapenz ameshanipa mara moja.. Je hii NI ISHARA YA MAPENZ YA KWELI KWANGU??
Wewe ni me au ke
 
Wanawake wengine sio tabia yao kuomba omba, ila just because hatumii simu usiku and mmesha sex, doesn't mean ndo anamapenzi ya kweli kwako
Only way to know that is how they treat and care about you
Thanks.. She treat me well
 
Mpenzi wangu hajawah kuniomba hata hela ya vocha since tumejuana tuko na almost 2 months na sijawahi kukuta simu yake inatumika usiku na mapenzi ameshanipa mara moja.

Je, hii NI ISHARA YA MAPENZ YA KWELI KWANGU?
Madem wa siku hizi ukitega nao wanatega....
Ukifugulia ndio utawaelewa....
 
Kwa hiyo ukiombwa ela ndio kwamba hayo sio mapenzi ya kweli?
Sijamaanisha hivo.. Nimeuliz bcoz nilishakua na Mahusiano ya wapiga vizinga wiki moja tu unatoa elf hamsin na mapenz hayakuwah kudumu.. Sas nahc labd huyu kaanz mwanzo mzur.. Nyota njema huonekan asubuh lbda
 
sasa si ndo vizur ili wewe ndo umfanyie suprise....umpe wewe hata kama hajakuomba meaninig utampa kwa kupanga...sio wote waombaje usiishi kwa uzoea kupigwa mizinga....usiku sio kila mtu pia....msisahau kuwa wanaojiheshimu na wamelelewa vizuri wapo na wameleleka...sio wote wana fake....so jiongeze hapo unaweza kuwa umepata mtu...ndio muda wa kuchunguza vizuri lakini usiwe na haraka
 
Wanawake wengine sio tabia yao kuomba omba, ila just because hatumii simu usiku and mmesha sex, doesn't mean ndo anamapenzi ya kweli kwako
Only way to know that is how they treat and care about you
🙂 in this century? , in this city of ours?, in this economic state!?, nikimpata wa aina hyo ni ntammimba haraka sana ili nimpige lock, maana wao wanajua kuwa na mwanaume ni kumiliki ATM kadi, kuolewa ni kumiliki bank. ukiishiwa utasikia we mwanaume
 
sasa si ndo vizur ili wewe ndo umfanyie suprise....umpe wewe hata kama hajakuomba meaninig utampa kwa kupanga...sio wote waombaje usiishi kwa uzoea kupigwa mizinga....usiku sio kila mtu pia....msisahau kuwa wanaojiheshimu na wamelelewa vizuri wapo na wameleleka...sio wote wana fake....so jiongeze hapo unaweza kuwa umepata mtu...ndio muda wa kuchunguza vizuri lakini usiwe na haraka
Asante sana afande ujumbe wako nimeuelew vzr
 
Sas ntampaje bila kuomb?? Km hatak kupewa je si ataon najikweza.. Bora nisimpe.. "omben nanyi mtapewa"
wakwangu kama wako...basi nampenda balaana nampaga vizwadi.....maana ameuliahuyo...siokila siku kuwaponda hawa kina evelyn saalt...wapo wengi wametulia (nimetolea tu mfano evely kwa jinsia yake hahahah)
 
Back
Top Bottom