majid salim dossa
Member
- Nov 22, 2020
- 25
- 6
Kwa anayejua aina haya ya madini naomba aniambie.
Ni madini bei sana hayo. Mwaka juzi niliuza Tsh milioni 30 kwa nusu kilokwa mtu ambaye anajuwa aina haya ya madini naomba aniambie naombeni mnijuze wana jf
Ni aina gani hayo mkuuNi madini bei sana hayo. Mwaka juzi niliuza Tsh milioni 30 kwa nusu kilo
Mkuu hivyo ni vipande vya chupa ya vodka
Unauhakik mkuuMkuu hivyo ni vipande vya chupa ya vodka
Kwahiy hayan thamani yeyot hayaHapo pana Quartz na mauchafu uchafu. Hazina thaman kabisa. Ona wenzako gramu 100 wanauza dola 8.
View attachment 1710326
Analizwa mtu saaahivi
kam hauna majib sahih tuwasubiri wajuzi wa haya mamboHivi sio vipande vya chupa ya stoney tangawizi kweli?
Dah! Kwa kweli sija ujuzi wowote. Ngoja wataalam watakuja tu kuwa na subira. Mkuu mrangi njoo utoe msaada.kam hauna majib sahih tuwasubiri wajuzi wa haya mambo
Hivi sio vipande vya chupa ya stoney tangawizi kweli?
Kila jiwe ni aina mojawapo ya madini. Issue ni thamani, maana mwingine thamani yake ni kidogo sana. Unaweza kujaza kicarry na unaweza kuuza only 20000 tshs.Umejuaje kama hayo ni madini kiongozi?
ndo natafuta majib hapUmejuaje kama hayo ni madini kiongozi?