Je, haya mawe ni mali?

NITAKUKAMATA TU

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2021
Posts
346
Reaction score
433
Habari wana JamiiForums, naomba msaada wa utambuzi wa mawe haya naweza ikawa ni mawe ya thamani, kwa sababu
1. Ni mazito tofauti na mawe ya kawaida ukubwa huo
2. Ataukiyaga yana toa chembe chembe za kung'aa sana





 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…