kwanza ktk nchi za wenzetu wanatumia both ditital na analogue kaka hata ktk cable zao utaona kuna digital na analogue channels. kwa bongo ni blahblhah tu itachukua mda kuingia full digital lkn mitambo hiyo hawatazima mwisho wa mwaka huu kama wanavodai, miundo mbinu ya digital haijakaa vema na wanatakiwa kuwa na service provider walau mmoja ili kuwapunguzia wananchi mzigo wa garama za vingamuzi,wanapaswa hao wa vingamuzi kuweka channel zote za tanzania na za nje wataamua wenyewe na mwananchi awe na uchaguzi,hili la tbc na clouds afu star na itv wawe na vingamuzi vyao TCRA wamekurupuka waende shule wakasome ICT.