Blank page
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 4,729
- 3,174
Moja kwa moja kwenye mada ni katika hali ya kutaka kujua baadhi ya mambo wakuu hivi suala la upungufu wa nguvu, lipo kwa mwanaume tuu ama kwa mwanamke pia, na kama ipo je huko hali iko vipi ama husababishwa na nini, na tofauti yake ni ipi ukilinganisha na upungufu wa nguvu za kiume, kwa mwanaume madaktari na wataalamu wa afya, mnaweza kunijuza kuhusu hili karibuni!