Je, haiwezekani tumeamua kujitoa katika mahakama hizi ili kupunguza aibu ya kushindwa na Acacia katika kesi waliotufungulia huko London?

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,154
144,681
Wadau, kama mnakumumbuka sakata la makinikia lilitingisha nchi kwa kiasi kikubwa sana na hii ni kutokana na jinsi sakata lenyewe lilivyoshughulikiwa na serikali sambamba na matumizi makubwa ya media kutangaza matukio husika kuanzia matukio ya kutangaza matokeo ya kamati mbili za Raisi, kutangaza ujio wa Boss wa Barrck na ahadi ya kishika uchumba bila kusahau live coverage ya kuwatunuku nishani wajumbe wa kamati za makinika kwa kazi nzuri waliyofanya (kazi iliyoitwa ya kizalendo).

Hata hivyo, majuzi Mbunge wa Kigoma Mjini, Mhe Zitto kabwe ametoboa siri kuwa kuna kesi inaendelea kati ya serikali ya Tanzania na kampuni ya Acacia ambapo wanatudai zaidi ya trilioni 4 na mpaka leo hii serikali haijakanusha madai haya hivyo sisi wengine tumeani ni kweli maana Zitto alitaja mpaka namba ya kesi.

Sasa wadau, kwa nguvu kubwa ile iliotumika mpaka na kutoa nishani kwa wajumbe wa zile kamati mbili alafu ghafla tunaangukia pua huko London kuwa kilichofanyika hakikuwa kitu sahihi, tutakuwa tayari kupokea aibu hii bila kufanya any sort of damage control?

Je, kujitoa huku kabla ya hukumu kutolewa sio hatua ya kujihami kwa kuwaaminisha watu mapema kuwa hizo mahakama hazitendi haki na hivyo hatui hii ni kama kuwaanda watu kisaikolojia kuwa maamuzi yatakayotolewa sio ya haki?

Je, hii si damage control ya mapema?

Na je, hatua hii sio kutaka kujaribu ku-influence uamuzi wa mahakama juu ya kesi hii na zingine tunazosikia zipo(kutafuta huruma)?

Na je, ikitokea tumeshinda( ingawa matumaini ni madogo kulingana na maelezo ya Zitto aliedai kuona ripoti ya kesi hiyo) tutasemaje?
 
Wadau, kama mnakumumbuka sakata la makinikia lilitingisha nchi kwa kiasi kikubwa sana na hii ni kutokana na jinsi sakata lenyewe lilivyoshughulikiwa na serikali sambamba na matumizi makubwa ya media kutangaza matukio husika kuanzia matukio ya kutangaza matokeo ya kamati mbili za Raisi, kutangaza ujio wa Boss wa Barrck na ahadi ya kishika uchumba bila kusahau live coverage ya kuwatunuku nishani wajumbe wa kamati za makinika kwa kazi nzuri waliyofanya (kazi iliyoitwa ya kizalendo).

Hata hivyo, majuzi Mbunge wa Kigoma Mjini, Mhe Zitto kabwe ametoboa siri kuwa kuna kesi inaendelea kati ya serikali ya Tanzania na kampuni ya Acacia ambapo wanatudai zaidi ya trilioni 4 na mpaka leo hii serikali haijakanusha madai haya hivyo sisi wengine tumeani ni kweli maana Zitto alitaja mpaka namba ya kesi.

Sasa wadau, kwa nguvu kubwa ile iliotumika mpaka na kutoa nishani kwa wajumbe wa zile kamati mbili alafu ghafla tunaangukia pua huko London kuwa kilichofanyika hakikuwa kitu sahihi, tutakuwa tayari kupokea aibu hii bila kufanya any sort of damage control?

Je, kujitoa huku kabla ya hukumu kutolewa sio hatua ya kujihami kwa kuwaaminisha watu mapema kuwa hizo mahakama hazitendi haki na hivyo hatui hii ni kama kuwaanda watu kisaikolojia kuwa maamuzi yatakayotolewa sio ya haki?

Je, hii si damage control ya mapema?

Na je, hatua hii sio kutaka kujaribu ku-influence uamuzi wa mahakama juu ya kesi hii na zingine tunazosikia zipo(kutafuta huruma)?

Na je, ikitokea tumeshinda( ingawa matumaini hayo ni kama hayapo kulingana na nyaraka Zitto alizodai kuziona juu ya kesi hiyo) tutasemaje?
Slavery mentality inakumaliza... hivi wewe unaogopa kesi kiasi hicho hujawahi kwanini unawaza kushindwa tuuuu!!
 
Sheria hazifanyi kazi retro-actively. Kama ni kweli kesi imekwisha kufunguliwa katika taratibu za zamani zilizoonesha ndio njia iliyokubaliwa na wote - kesi ile itaendelea. Nitasubiri kwa hamu kuona mwekezaji wa kwanza kutumia sheria mpya pendekezwa.

Ni bahati mbaya tunadhani kuwa tunashindwa kesi eti tu kwa sababu ni mahakama za kimataifa. Tunasahau ushiriki wetu katika kufanya maamuzi mabaya kuanzia kuandika articles za contract mpaka kufikia kuzivunja - tukiamini tuko sahihi.
 
Sheria hazifanyi kazi retro-actively. Kama ni kweli kesi imekwisha kufunguliwa katika taratibu za zamani zilizoonesha ndio njia iliyokubaliwa na wote - kesi ile itaendelea. Nitasubiri kwa hamu kuona mwekezaji wa kwanza kutumia sheria mpya pendekezwa.

Ni bahati mbaya tunadhani kuwa tunashindwa kesi eti tu kwa sababu ni mahakama za kimataifa. Tunasahau ushiriki wetu katika kufanya maamuzi mabaya kuanzia kuandika articles za contract mpaka kufikia kuzivunja - tukiamini tuko sahihi.
Wewe jiulize ni kwanini mpaka leo hii hakuna hata mtu mmoja aliechukuliwa hatua licha kamati zile kuwataja watuhumiwa ambao iliwalaumu kwa kutumia nafasi zao vibaya na kuitia serikali hasara.


Yaani sisi wenyewe tunawatuhumu kwa kuingia mikataba ya hovyo/kwa kushirikiana na wawekezaji kutuibia alafu bado tunategemea kushinda hizi kesi?

Sijui kama huwa tunawaza sawasawa!!
 
Guys you have to remember that kujitoa kwenye hizi mahakama ndio lilikuwa wazo la Lisu first then unaendelea na taratibu zingine. Later on his advises may be worthy bila kutambuliwa!
Wanakumbuka shuka wakati kumekucha.Tatizo walijiamini mno wakasahau wenzao wako very smart na haya sasa ndio matokeo yake.
 
Tungemsilkiliza msema hovyo, wala tusingefika hapa,make alitushauri mapema, lakini alibezwa sana mpaka mkuu akasema, wewe kama ni mwanasheria kweli kwanini unaogopa kushitakiwa.
 
Hatupangiwi wakati wa kujitoa hii ni nchi huru

Kwani kuna muwekezaji mkubwa alikuja kunyenyekea awekeze hapa nchini? Wengi wao tuliwaomba sisi, tena wakati wanaitwa raia namba moja alikuwa kimya analinda cheo. Kujitoa sio shida, ila tumejiandaaje na matokeo baada ya kujitoa? Kumbuka wanaotunga sheria ya kujitoa hakuna mzalishaji hata mmoja, wote wako upande wa matumizi ya kodi za umma. Hizo raslimali hawana uwezo wa kuziendesha zaidi ya kucheza mziki wa raia namba moja.
 
Tungemsilkiliza msema hovyo, wala tusingefika hapa,make alitushauri mapema, lakini alibezwa sana mpaka mkuu akasema, wewe kama ni mwanasheria kweli kwanini unaogopa kushitakiwa.
Hawa majamaa ni maziro brain!! Huelewa kwa kuchelewa.
 
Kwani kuna muwekezaji mkubwa alikuja kunyenyekea awekeze hapa nchini? Wengi wao tuliwaomba sisi, tena wakati wanaitwa raia namba moja alikuwa kimya analinda cheo. Kujitoa sio shida, ila tumejiandaaje na matokeo baada ya kujitoa? Kumbuka wanaotunga sheria ya kujitoa hakuna mzalishaji hata mmoja, wote wako upande wa matumizi ya kodi za umma. Hizo raslimali hawana uwezo wa kuziendesha zaidi ya kucheza mziki wa raia namba moja.
Wekeza na wewe mimi nilishaanza kuwekeza hakuna mtu wa nje atakuja kuwekeza kwa faida yako mkuu!
 
Wadau, kama mnakumumbuka sakata la makinikia lilitingisha nchi kwa kiasi kikubwa sana na hii ni kutokana na jinsi sakata lenyewe lilivyoshughulikiwa na serikali sambamba na matumizi makubwa ya media kutangaza matukio husika kuanzia matukio ya kutangaza matokeo ya kamati mbili za Raisi, kutangaza ujio wa Boss wa Barrck na ahadi ya kishika uchumba bila kusahau live coverage ya kuwatunuku nishani wajumbe wa kamati za makinika kwa kazi nzuri waliyofanya (kazi iliyoitwa ya kizalendo).

Hata hivyo, majuzi Mbunge wa Kigoma Mjini, Mhe Zitto kabwe ametoboa siri kuwa kuna kesi inaendelea kati ya serikali ya Tanzania na kampuni ya Acacia ambapo wanatudai zaidi ya trilioni 4 na mpaka leo hii serikali haijakanusha madai haya hivyo sisi wengine tumeani ni kweli maana Zitto alitaja mpaka namba ya kesi.

Sasa wadau, kwa nguvu kubwa ile iliotumika mpaka na kutoa nishani kwa wajumbe wa zile kamati mbili alafu ghafla tunaangukia pua huko London kuwa kilichofanyika hakikuwa kitu sahihi, tutakuwa tayari kupokea aibu hii bila kufanya any sort of damage control?

Je, kujitoa huku kabla ya hukumu kutolewa sio hatua ya kujihami kwa kuwaaminisha watu mapema kuwa hizo mahakama hazitendi haki na hivyo hatui hii ni kama kuwaanda watu kisaikolojia kuwa maamuzi yatakayotolewa sio ya haki?

Je, hii si damage control ya mapema?

Na je, hatua hii sio kutaka kujaribu ku-influence uamuzi wa mahakama juu ya kesi hii na zingine tunazosikia zipo(kutafuta huruma)?

Na je, ikitokea tumeshinda( ingawa matumaini ni madogo kulingana na maelezo ya Zitto aliedai kuona ripoti ya kesi hiyo) tutasemaje?

Salary Slip we unatakaje?
 
Back
Top Bottom