johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,016
- 142,056
Umenikumbusha Shigela mkuu!huyo ni kibabu
Unaujua umri wa Masauni na Sadifa?!!Daudi Kafuliler ana .iska 35+ , ina maana huko vijana wameisha!
Wakili Msando ni msomi kuliko wakili Masha?Wallah kwa Magufuli kila goti litapigwa. Mpaka 2025? Sitashangaa familia zikifarakana. Baba akimkana mwana na mjomba akimkana mpwa! Kisa kila mmoja kuhakikisha anapata slice ya mkate!
Tupende tusipende, JPM ametufunulia tujue sisi waTanzania ni watu wa namna gani. Na madhaifu yake yote...JPM atakumbukwa kwenye historia kama Kiongozi aliyeuanika unafiki wa waTanzania kwa kiwango kikubwa sana.
Possibly, 95% ya WaTanzania ni CCM. Either kwa kutaka au kutotaka.
Lakini swali langu kubwa: Hivi kweli hakuna maisha nje ya siasa????? Haiwezekani mtu akapambana bila kuingia kwenye mkondo wa hizi siasa za maji taka za CCM?
Mpaka "wasomi" akina Msando (kwa mtu kama Wema, Masha, Kafulila, Machali, Mtulia nk huwezi shangaa-these are usual suspects)......Lakini kwa wasomi kama Msando leo wanaimba pambio za CCM kujinusuru na rungu la JPM? wallah sijui kama kuna atakayesalimika.
This is serious aiseee!
Unadhani Lowassa " alipewa" ugombea uRais?........ Muulize balozi Slaa atakujuza!Huyo popo hawezi kuwa katibu mkuu,huyo kesho akiamka Chadema imechukua nchi anahamia Chadema.Kuongonza Sehemu nyeti lazima kuwekwe watu ambao thick or thin wapo CCM,when we win we remain together and when we lose we remain together through thin and thick.CCM sio wajinga kama Chadema kumpokea Lowasa na kumpa ugombea urais on spot.
Ila suala la Chadema kuchukua nchi karne hii sahau. Kwanza hawana wagombea na Lowassa keshachoka.Huyo popo hawezi kuwa katibu mkuu,huyo kesho akiamka Chadema imechukua nchi anahamia Chadema.Kuongonza Sehemu nyeti lazima kuwekwe watu ambao thick or thin wapo CCM,when we win we remain together and when we lose we remain together through thin and thick.CCM sio wajinga kama Chadema kumpokea Lowasa na kumpa ugombea urais on spot.
Kama ni kweli, tumuombee wote aupate. CHADEMA tutakuwa salama zaidi kwa maana kuna upumbavu unaofanywa na wanaCCM ataukataa/ hatauunga mkono. Lakini vile vile itapendaza kwa maana kama mtu amelelewa na upinzani tangu mwanzo anapochukuliwa na CCM na kupewa nafasi kubwa kama hiyo, ni dhahiri kuwa maandalizi ya wapinzani ni bora zaidi. Acha tuendelee kuuona mkuno wa Mungu.Ni habari zinazozungumzwa zungumzwa hapa mjini Dodoma. Inasemekana UVCCM imeoza kwa rushwa hivyo inahitajika injini imara ya kwenda " kuendesha" mchakato wa kuitakasa Jumuiya hiyo. Mgombea wa Sadifa inasemekana alimhitaji Muro kama Katibu Mkuu wake lakini ndio hivyo tena maji yameshamwagika. Kila la heri ndugu Kafulila Mungu akaifanye imara mikono yako maana huko UVCCM miti mingi inateleza. Nawasilisha!
Umri ni namba tu mkuu, le mutuz kwa mfano ana miaka 63 lakini anawazidi vijana wengi kiharakati!Mwenye kujuwa mtu anayekubalika kuwa kiongozi wa umoja wa vijana anatakiwa asizidi miaka mingapi?
Nikukumbushe tu kidogo, Madiwani waliohama kutoka chadema kwenda ccm kule mkoani Arusha ndo waliogombea nafasi hizo pamoja na kwamba kwenye kura za maoni walikuwa wamedondoshwa. Hapo unasemaje na hiyo ni ccmHuyo popo hawezi kuwa katibu mkuu,huyo kesho akiamka Chadema imechukua nchi anahamia Chadema.Kuongonza Sehemu nyeti lazima kuwekwe watu ambao thick or thin wapo CCM,when we win we remain together and when we lose we remain together through thin and thick.CCM sio wajinga kama Chadema kumpokea Lowasa na kumpa ugombea urais on spot.
Huyo popo hawezi kuwa katibu mkuu,huyo kesho akiamka Chadema imechukua nchi anahamia Chadema.Kuongonza Sehemu nyeti lazima kuwekwe watu ambao thick or thin wapo CCM,when we win we remain together and when we lose we remain together through thin and thick.CCM sio wajinga kama Chadema kumpokea Lowasa na kumpa ugombea urais on spot.
Hahahaa.......... mkuu kwani Juliana Shonza alilelewa wapi?Kama ni kweli, tumuombee wote aupate. CHADEMA tutakuwa salama zaidi kwa maana kuna upumbavu unaofanywa na wanaCCM ataukataa/ hatauunga mkono. Lakini vile vile itapendaza kwa maana kama mtu amelelewa na upinzani tangu mwanzo anapochukuliwa na CCM na kupewa nafasi kubwa kama hiyo, ni dhahiri kuwa maandalizi ya wapinzani ni bora zaidi. Acha tuendelee kuuona mkuno wa Mungu.
Umeanza vizuri mwisho umejinyea visigino..rubbishHuyo popo hawezi kuwa katibu mkuu,huyo kesho akiamka Chadema imechukua nchi anahamia Chadema.Kuongonza Sehemu nyeti lazima kuwekwe watu ambao thick or thin wapo CCM,when we win we remain together and when we lose we remain together through thin and thick.CCM sio wajinga kama Chadema kumpokea Lowasa na kumpa ugombea urais on spot.
Nafasi ya utendaji uvccm inashikwa na mwenye umri hadi miaka 60. Ila kwa nafasi za kugombea ndio lazima asizidi miaka 35 mpaka anatoka kwenye hiyo nafasi.Mwenye kujuwa mtu anayekubalika kuwa kiongozi wa umoja wa vijana anatakiwa asizidi miaka mingapi?