Je Chama hakina wajibu hoja?

Je Chama hakina wajibu hoja?

curie

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2020
Posts
1,058
Reaction score
2,451
Ukweli ni kwamba ukimkamata mtu kama Tundu Lissu na ukamfungulia kesi unakua haumshushi bali unazidi kumuongezea credibility kwa watu na anazidi kujikusanyia wafuasi. Kumkabili Tundu Lissu unahitaji watu “Smart” katika siasa, magwiji wa kujenga hoja na wenye nguvu ya ushawishi.
 
Lissu alitakiwa kufanya political build-up kwa walau mwaka mmoja, kuimarisha chama, kujenga umoja. Wakati anaanza hizi mambo zake za no reform no election, kisiasa alikuwa bado weak akiwa na uadui mkubwa ndani ya chama. Yeye badala ya kukiweka chama pamoja, akaanza kuwatukana na kuwakejeli wenzake.

Kwa sasa anawahitaji wale aliowakejeli ili wamtoe kwenye utando wa buibui mwenye meno makali, na sumu ya kufisha
 
Lissu alitakiwa kufanya political build-up kwa walau mwaka mmoja, kuimarisha chama, kujenga umoja. Wakati anaanza hizi mambo zake za no reform no election, kisiasa alikuwa bado weak akiwa na uadui mkubwa ndani ya chama. Yeye badala ya kukiweka chama pamoja, akaanza kuwatukana na kuwakejeli wenzake.

Kwa sasa anawahitaji wale aliowakejeli ili wamtoe kwenye utando wa buibui mwenye meno makali, na sumu ya kufisha
Aliyekuzaa ana shida sana what a waste sperm
 
Ukweli ni kwamba ukimkamata mtu kama Tundu Lissu na ukamfungulia kesi unakua haumshushi bali unazidi kumuongezea credibility kwa watu na anazidi kujikusanyia wafuasi. Kumkabili Tundu Lissu unahitaji watu “Smart” katika siasa, magwiji wa kujenga hoja na wenye nguvu ya ushawishi.
We ni nyumbu tu km yeye, hujui ht maana ya hoja, yale matusi, uzushi, uchochezi, uwongo, ujenzi wa chuki kwako wewe ndio hoja? Omba upewe ht akili kdg
 
Lissu alitakiwa kufanya political build-up kwa walau mwaka mmoja, kuimarisha chama, kujenga umoja. Wakati anaanza hizi mambo zake za no reform no election, kisiasa alikuwa bado weak akiwa na uadui mkubwa ndani ya chama. Yeye badala ya kukiweka chama pamoja, akaanza kuwatukana na kuwakejeli wenzake.

Kwa sasa anawahitaji wale aliowakejeli ili wamtoe kwenye utando wa buibui mwenye meno makali, na sumu ya kufisha
IMG-20250410-WA0115.jpg
 
Aliyekuzaa ana shida sana what a waste sperm
Shida ya chadema Iko hapa, Ina mipumbavu mingo ya kukurupukia na kutukana tukana, Sasa nini' kinakufanya umtukane hapo?!! Si uongee hoja Yako ya nguvu zaidi yake yaishe
 
Lissu alitakiwa kufanya political build-up kwa walau mwaka mmoja, kuimarisha chama, kujenga umoja. Wakati anaanza hizi mambo zake za no reform no election, kisiasa alikuwa bado weak akiwa na uadui mkubwa ndani ya chama. Yeye badala ya kukiweka chama pamoja, akaanza kuwatukana na kuwakejeli wenzake.

Kwa sasa anawahitaji wale aliowakejeli ili wamtoe kwenye utando wa buibui mwenye meno makali, na sumu ya kufisha
Ccm haina wajenga hoja.

Hoja zao zinajibiwa na police.
 
Back
Top Bottom