Nyamsusa JB
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 567
- 1,565
Habarini Wanajanvi
Kutokana na mkanganyiko wa mambo ya Kisisa Nchini na hata kusababisha Tafsiri tata kwa baadhi ya mambo tulioyodhani ni ya kawaida na ni mepesi kuyafahamu na kuyajua.
Kabla tulijua Bungeni ni sehemu maarumu ambapo shughuri zote zinazohusu Bunge hufanyika.
Kabla tulijua Bunge kama Bunge ni mjumuisho wa Wabunge na itifaki nzima ya Bunge kama Spika ama Naibu ama wenyeviti wa vikao vya bunge . kwa ujumla wake wa hawa Wadau Bungeni ndio linaitwa Bunge.
Hivyo ili Bunge likamilike Wanahitajika Wabunge, Spika ama Naibu Spika, au Wenyeviti wa Bunge na Sehemu Maalum ambapo ndio Panaitwa Bungeni.
Kikipungua kimoja wapo kati ya hivyo basi hilo halitaitwa Bunge labda kama ni vikao vya kamati za Bunge.
Hivi ndivyo Tulijua kabla.
Kutokana na mkanganyiko wa mambo ya Kisisa Nchini na hata kusababisha Tafsiri tata kwa baadhi ya mambo tulioyodhani ni ya kawaida na ni mepesi kuyafahamu na kuyajua.
Kabla tulijua Bungeni ni sehemu maarumu ambapo shughuri zote zinazohusu Bunge hufanyika.
Kabla tulijua Bunge kama Bunge ni mjumuisho wa Wabunge na itifaki nzima ya Bunge kama Spika ama Naibu ama wenyeviti wa vikao vya bunge . kwa ujumla wake wa hawa Wadau Bungeni ndio linaitwa Bunge.
Hivyo ili Bunge likamilike Wanahitajika Wabunge, Spika ama Naibu Spika, au Wenyeviti wa Bunge na Sehemu Maalum ambapo ndio Panaitwa Bungeni.
Kikipungua kimoja wapo kati ya hivyo basi hilo halitaitwa Bunge labda kama ni vikao vya kamati za Bunge.
Hivi ndivyo Tulijua kabla.