Nyamesocho
JF-Expert Member
- May 5, 2023
- 476
- 1,244
Taifa lipo kwenye maombolezo lakini TV ya Taifa TBC2 inapiga miziki ya bongo fleva na miziki mingine isiyoendana na maombolezo ambapo mtu asiye na taarifa na msiba akifungulia tbc2 atafikiri hiyo nchi haipo kwenye maombolezo
Juzi BASATA walitangaza kuwa kipindi hiki cha maombolezo vyombo vya habari Tv na redio wazingatie nyimbo za maombolezo lakini TBC2 tena TV ya Taifa hamna kitu
Je BASATA watawachukulia hatua TBC ?
Juzi BASATA walitangaza kuwa kipindi hiki cha maombolezo vyombo vya habari Tv na redio wazingatie nyimbo za maombolezo lakini TBC2 tena TV ya Taifa hamna kitu
Je BASATA watawachukulia hatua TBC ?