Sharobaro la jf
JF-Expert Member
- Apr 23, 2020
- 237
- 323
Wakuu habari za siku ndugu zangu wanaJamiiForums?
Natumahi mu wazima kabisa? wanachuo wenzangu nawakumbusha siku ni chache turudi katika pilika pilika la kusaini boom,
Wakuu niende kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyosema, kuna mwanamke mmoja ni mwanachuo pia kama mimi, sasa tumekuwa na mazoea ya mbali sana kama rafiki tu, ila wiki 2 zilizopita kuna tabia kaianza ambayo inanipa wakati mgumu sana, anaweza akakutumia sms ya asubuhi njema ukimjibu na kutaka kuanza kuchat nae anakaa kimya, jioni tena atakuaga usiku mwema, sasa ukimjibu na kutaka labda uchati nae hajibu kabisa sms, sasa na mimi nikajaribu kumchunia siku3 zilizopita za kutojibu sms zake, chaajabu juzi kanitext anadahi nimebadirika nikamwambia hamna mbona ww nikikujibu sms zangu unakaa kimya kama hautaki kuchat na mimi?
Anadai ooh mda huu nipo bussy mara ooh usinihisi vibaya nikasema poa sasa kila siku tu yeye ni wa sms za asubuhi njema na usiku mwema basi, ana stori zozote zaidi ya uck mwema na asubuhi njema, sasa hii kitu imenichosha sana, nashindwa kumuelewa ana maana gani?
Kuna siku nilimpigia alijivuta sana kupokea japo alipokea ila alikatisha maongezi yaani unaongea nae dk3 anaanza kusema nitakucheki baadae lakini akutafuti zaidi tu ya kukutumia sms za uck mwema,
Wakuu nipeni ushauri nifanyaje?
Natumahi mu wazima kabisa? wanachuo wenzangu nawakumbusha siku ni chache turudi katika pilika pilika la kusaini boom,
Wakuu niende kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyosema, kuna mwanamke mmoja ni mwanachuo pia kama mimi, sasa tumekuwa na mazoea ya mbali sana kama rafiki tu, ila wiki 2 zilizopita kuna tabia kaianza ambayo inanipa wakati mgumu sana, anaweza akakutumia sms ya asubuhi njema ukimjibu na kutaka kuanza kuchat nae anakaa kimya, jioni tena atakuaga usiku mwema, sasa ukimjibu na kutaka labda uchati nae hajibu kabisa sms, sasa na mimi nikajaribu kumchunia siku3 zilizopita za kutojibu sms zake, chaajabu juzi kanitext anadahi nimebadirika nikamwambia hamna mbona ww nikikujibu sms zangu unakaa kimya kama hautaki kuchat na mimi?
Anadai ooh mda huu nipo bussy mara ooh usinihisi vibaya nikasema poa sasa kila siku tu yeye ni wa sms za asubuhi njema na usiku mwema basi, ana stori zozote zaidi ya uck mwema na asubuhi njema, sasa hii kitu imenichosha sana, nashindwa kumuelewa ana maana gani?
Kuna siku nilimpigia alijivuta sana kupokea japo alipokea ila alikatisha maongezi yaani unaongea nae dk3 anaanza kusema nitakucheki baadae lakini akutafuti zaidi tu ya kukutumia sms za uck mwema,
Wakuu nipeni ushauri nifanyaje?