Je ? Amref huwa wanatoa ufadhili kwa waliochaguliwa vyuo vya afya vya private?

mzee wa giningi

JF-Expert Member
Nov 1, 2016
519
336
Msaada wadau je ? Amref huwa wanatoa ufadhili kwa wale waliochaguliwa kusomea certificate of nursing and midwifery kwa vyuo vya private especially hivi dini mfano bukumbi nk
 
Mkuu amref huwa hawatoi ufadhir wowote huwa n wababaishaji tuu,,wewe jipange
 
Labda tafta ufadhir kweny taasis ya mkapa foundation,lkn amref siwaamin binafsi
 
Back
Top Bottom