Je, ‘’15 minutes of fame’’ za Fatma Karume zimegharimu biashara za IMMMA Advocates na TLS?

Kuna watu wataanza kutokwa na povu hapa.
 
wekeni masihara pembeni;

Kuna muda hiyo kampuni ya uwakili ilishiriki kutunyonya sisi watanzania. .

Ila kwakua kwa sasa mirija imekatwa...

eti nao ghafla wanafahamu anuani zetu sisi wanyonge..

na kwa bahati mbaya sana ;

wapinzani wetu hawajitambui...

wanazoa kila uchafu
 
Kuna wana TLS hawapendi chama chao kinavyoendeshwa tangu Lissu awe Rais na sasa Fatma.

Kwa maana, TLS ya sasa imebeba taswira ya kisiasa na kiharakati kuliko kuwa huduma muhimu ya msaada wa kisheria kama ilivyokuwa awali.

Ndio maana hata zile kauli za Fatma kuhusu sakata la Ushoga, chama kiliingilia kati na kusema ni mawazo yake binafsi na sio msimamo wa TLS.

TLS ya sasa unaweza kudhani ni mpya yaani kumbe imekuwepo muda mrefu na kazi zilikuwa zinaenda kabla hakijatekwa na hawa kick masters..

Nisiwe adui kwa kutoa maoni yangu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…