gongolamboto
JF-Expert Member
- Feb 21, 2011
- 1,182
- 564
Bei nzuri sana mkuu. Vina sauti nzuri sana hivi
Karibu chiefBei nzuri sana mkuu. Vina sauti nzuri sana hivi
JBL ni brand kubwa sana katika utengenezaji was speaker Bora kabisa. Hivyo bei take ni sawa kabisa kama ni original.JBL ina watts ngapi? Kwa udogo huu ina sound gani kufikia bei ya 530k?
Kama ni Bibi usinunue JBL ni gharama kubwa kwa Bibi ambaye pengine ye anataka kusikiliza redio tu. Halafu wajukuu wakija wataibeba wasepe nayo.Mkuu nataka nimnunulie bibi alikua anatumia za mchina zinakufa kila siku, swali langu zina option ya radio fm manake nje ya kuchomeka flash anapenda pia kusikiliza radio.
Unalipia jina lakini na ubora pia.JBL haishikiki
Kabisa mkuuUnalipia jina lakini na ubora pia.
Wakuu kuna swali hapa mwenye majibu pleaseMkuu ebu nipe ushauri
Nlikua nahitaji kununua home threate au sound bar! brand yoyote nzuri but sina uzoefu na hiyo music system!
Bajeti yangu ni around 600k naweza fanikiwa
Nunua sound bar ukitaka rich sound.....home theaters are things of the pastWakuu kuna swali hapa mwenye majibu please
Bei kwa JBL Charge 5 ni Tsh.500,000/= sasaBrand New JBL Charge 5 For Sale
Wireless Bluetooth Audio Streaming
Pair up to Two Mobile Devices at Once
Dual Passive Bass Radiators
Rechargeable Lithium-Polymer Battery
USB Type-C Device Charging Port
Lasts up to 20 Hours on a Full Charge
IP67 Waterproof and Dustproof Rating
Pair with Other JBL PartyBoost Speaker
Price: tsh.520,000/= (best price in town
CALL/TEXT/WHATSAPP 0689341445
FREE DELIVERY IN DAR ES SALAAM
View attachment 2005570