Gallius
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,935
- 8,164
Ndio zipo mkuu karibu
Nikumbushe bei na ukubwa please
Ndio zipo mkuu karibu
1TB- 140kNikumbushe bei na ukubwa please
1TB- 140k
2TB- 180k
Brand New Toshiba External HDD
Ukitaka zije na movies unawekewa
Shida jf wanafuta thread zangu za External hdd ndo maana sitengenezi thread mpya siku hizi
Transcend zimeadimika siku hiziBrand ya Trascends huna siku hizi? Delivery in dar ni free?
PoleImedoda kweli
Haijadoda mkuu nilikua naridhisha mdau wangu Mama Debora ni furaha yake akiona nikifeliPole
Kwa nini usijaribu brand za sony , kama una connection za kupata vitu nje?
Xb series kwa mfano ?; nina imani ungekuwa umeagiza mzigo mpya !
Unafanya kazi mbili katika huu uzi kuitanbulisha brand ya Jbl na kuuza at the same time, Sony wana jina kubwa kwenye speakers zao
Pole pambana uizidiHii spika imeuzidi mshahara wangu mara mbili.
This is not fair.
Acha tu bob.Pole pambana uizidi
SawaaAcha tu bob.
500,000/=Charger 5 price yake?