Kuna mashine hope inafunga Mtaa
Kuna mashine hope inafunga Mtaa😄
Sema bei MKASI SANA nimecheck Aliexpress sijaiona hii kitu.
View attachment 1072133
View attachment 1072134
Hahaha boom box gani laki na 25 wenda sijakuelewa hizo ni milion 1.2 ukinunua bongo kwa Wahindi wa highlife hawa jamaa niuhakika kupata kitu OG kwao ila hizo za laki na 20 sio OG JBL ndogo tu unagusa 200k-300k hivo boom box ni mkasu zaidi mama.Naitaka hii speaker. Lakin na 25 bei reasonable kabisa.
Ninayo kama hiyo nilinunua South AfricaKuna mashine hope inafunga Mtaa
Sema bei MKASI SANA nimecheck Aliexpress sijaiona hii kitu.
View attachment 1072133
View attachment 1072134
Huyu hapa mnyamaNinayo kama hiyo nilinunua South Africa
Huyu hapa mnyamaView attachment 1089133
Mie nimeweka mpk picha ninayo ya nimenunua SA hao wengine wamenunua hapa Dar labda maana wabongo wana inflate sana bei madukani kutokana na kodi kuwa juu
Sasa ni kweli unashindwa kufahamu kwanini Dar zinauzwa bei hiyo dada?
Mie nilinunua SA tena ilikuwa kwenye maonesho ya vifaa vya kumpyuta. Sikwenda kwa ajili ya hizo speaker nilinunua kwa kuwa nilizielewa sana na nilikuwa natafuta Bluetooth speaker na niliweka uzi kabisa hapaSasa ni kweli unashindwa kufahamu kwanini Dar zinauzwa bei hiyo dada?
Kama Radio ya laki 200k ukiingiza bongo kodi inafika hata 90k wale jamaa wa Customs wakikukadiria!! Je,kifaa kama hiko mtu akiingiza bongo kodi itakuwa kiasi gani? + Usafiri+Kodi ya Pango lake+Faida? Je itashindikana vipi wewe kuuziwa hiyo bei.
Na vipi je unaweza kwenda S.A kwa ajili tu ya kununua hiko kifaa kwa 600k na ukarudi bongo zile nauli za go and return vipi na room kule na Cost nyingine 😂😂😂 jamaa hakwenda S.A kununua Radio unajua ila bado akalipia 600k.
funzadume yuko sahihi maana ni bei alonunulia S.A ila mimi naweza nisiwe sahihi ila nimejaribu kukupa data kulingana na uhalisia wa bei za bongo.
Kuna hawa seller wawili nimeona bei zao zinalingana
1.Amaizinglifestyle Tz
2.HighlifeTz
Wako insta wote ukihitaji wacheck kwa mda wako.
Fake pia hizi hapa 120k
View attachment 1089148
Kuna huu mzigo JBL PARTYBOX ni balaa na nusu!View attachment 1405784View attachment 1405785View attachment 1405786
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna moja ya kichina nilinunua elfu 30Ninayo nauza elfu sabini
Hiyo ni feki hata mimi ninayoKuna mdau kasema hapo juu kuwa yake alinunua kariakoo 30,000 tu. na mziki wake mnene.
wewe una maoni gani kaka
Zanzibar unapata kwa laki 3Amesema laki nane. Wewe unaweza kutoa pesa hiyo kwa kidude hicho!!!