AL-bajouny
Member
- Apr 7, 2014
- 37
- 8
Pemba ni kisiwa mashuhuri kilicho katika bahari ya Hindi kihistoria Pemba haikua Afrika huko Karen za nyuma zilopita kwa mujibu ya tarehe kisiwa hichi kilianza kuishi with tokea wakati wa Nabii suleyman kabla ya kushikiliwa kisiwa hichi na Nabii suleyman kilikua chini ya Balkis ambae alikua mtawala Wa Yemen wakati huo na utawala wake ulifikia katika kisiwa hichi wakati huo kisiwa hichi kilikua maarufu kua ni jela la Majini( mashetani) wale ambao wakimuasi Nabiiyu llahh Suleyman pamoja nakua ni jela ya majini na wanaadam walikuwepo katika kisiwa hicho kutokea muda huo watu hao waliamini mungu mmoja tukimaanisha ni Waislam kadri Karen zilipo zikisonga mbele kuna matukio mengi yanayo sekana katika kisiwa hicho hats Nabii hizr inasemekana kuwepo katika kisiwa hicho like Lisa mashuhuri cha Nabii Musa alipotaka kujua km kuna mwenye elimu zaid yake ndipo alipokutanishwa na mcha mungu huyo am aye alikua na elimu zaid ya yeye
Wanna jf tutaendelea Luna mengi fatilia kwa makin update kuijua Pemba na watu wake
Jitahidi kufanya masahihisho kabla huja post thread. Vile vile usituletee historia ya uongo. Mambo ya baraza za kahawa usiyalete hapa. Haya uliyoandika hapa ni uongo mtupu. Toa chanzo cha hizi habari.
Pemba ni kisiwa mashuhuri kilicho katika bahari ya Hindi kihistoria Pemba haikua Afrika huko Karen za nyuma zilopita kwa mujibu ya tarehe kisiwa hichi kilianza kuishi with tokea wakati wa Nabii suleyman kabla ya kushikiliwa kisiwa hichi na Nabii suleyman kilikua chini ya Balkis ambae alikua mtawala Wa Yemen wakati huo na utawala wake ulifikia katika kisiwa hichi wakati huo kisiwa hichi kilikua maarufu kua ni jela la Majini( mashetani) wale ambao wakimuasi Nabiiyu llahh Suleyman pamoja nakua ni jela ya majini na wanaadam walikuwepo katika kisiwa hicho kutokea muda huo watu hao waliamini mungu mmoja tukimaanisha ni Waislam kadri Karen zilipo zikisonga mbele kuna matukio mengi yanayo sekana katika kisiwa hicho hats Nabii hizr inasemekana kuwepo katika kisiwa hicho like Lisa mashuhuri cha Nabii Musa alipotaka kujua km kuna mwenye elimu zaid yake ndipo alipokutanishwa na mcha mungu huyo am aye alikua na elimu zaid ya yeye
Wanna jf tutaendelea Luna mengi fatilia kwa makin update kuijua Pemba na watu wake
Ndugu lumayisa dunia hubadilika pale Karen zinapo songa mbele ila nataka nikujuve kwamba hata hao weusi tii waneweza kua waarabu kwa kabila jaribu kufanya uchunguzi asilimia kubwa ya watu Wa Pemba kabila ni za kishihir nikimaani ni watu kutoka Yemen fatilia na utagundua km hao si wakuja ndio wenyewe wazaliwa kinyume na hao wahindi ulio wataja
Ndugu lumayisa dunia hubadilika pale Karen zinapo songa mbele ila nataka nikujuve kwamba hata hao weusi tii waneweza kua waarabu kwa kabila jaribu kufanya uchunguzi asilimia kubwa ya watu Wa Pemba kabila ni za kishihir nikimaani ni watu kutoka Yemen fatilia na utagundua km hao si wakuja ndio wenyewe wazaliwa kinyume na hao wahindi ulio wataja