Mi naamini wasanii wetu wangekuwaa na mshikamano, umoja na upendo isiingekuwa shida kwa wasanii wakogwe kusikika, the only thing ninachokiona ni kuwapo kwa gap kubwa mno kati ya wasanii walio kwenye chart sasa na wale waliovuma zamani mfano Jaymo!
Lkn hili gap linatokaana na wasani walovuma zamani kutokukubali kazi za wasanii wanaovuma sasa, naamini kuwa Jaymoe akishirkiana na msanii anayeimba (sio kuchana) kama ommy dimpoz, Diamond, Ben Paul, vanessa Mdee, walter hata master bro na wengine wa aina hy wote wanaweza kuwa tite kwenye game na wakafanikiwa kwa maana ya kuuza sana muziki huo wa corabo, the only thing mdudu anaewamaliza baadhi ya wasanii wetu ni ubinafsi!
Binafsi napennda sana muziki na nam-feel sana Jaymo hasa akifanya featuring na mwanamuziki anayeimba R&B gerne!
Naamini kama kuna wakati wasanii wataacha roho ya ubinafsi na kuwa na uwezo wa kupembua mambo wataweza shirikiana na hatimaye wote ufanikiwa!
Kwa kuanza Binamu yangu (mwanaFA) fanya feat na Vanessa Mdee, aisee i wish nisikie hiyo track coz itabamba sana, is like naisikia sasa masikioni wangu!