AkiliMingi AM
Member
- Jul 5, 2020
- 88
- 60
Hanari wanaJF,
Ilikuwa mwaka 2013 , mdogo wangu alikuwa kidato cha kwanza, siku moja alirudi nyumbani kutoka shule alipo maliza kubadili nguo za shule na kuvaa nguo za nyumbani akaniuliza "kupiga punyeto ni sawa sawa na kufanya mapenzi na mwanamke?" Mimi nikamjibu "kupiga punyeto ni sawa na kujiridhisha matakwa yako bila mwanamke ila kwa kutumia hisia kama uko na mwanamke vile"
Usiku wa siku hiyo niliingia chumbani kwake nikakuta jarida flani la hapa Tanzania katika meza yake ya kusomea, nikaamua kulipitia pitia nikakutana na maada inayo sema punyeto haina madhara yoyote bali inasaidia mtu kuepukana na kupata magonjwa ya zinaa na ubakaji.
Walikuwa wameidadavua iyo mada vizuri haswaaa, basi nikagundua sababu ya dogo kuniuliza kuhusu punyeto ni lile jarida.
Hiyo ilikuwa ni 2013 ila sasa dogo amekuwa muhanga wa punyeto, anapiga kama hana akili nzuri kila siku anapiga punyeto na kuna wakati ana niambia akiona hapati usingizi basi anapiga chap alafu anaishia usingizini. Japo anataka kuacha ila anashindwa kabisa, na kuna wakati ananiambia kuwa hata akiwa na demu wake basi anashindwa kumwaga kabisa adi inabidi amalizie na mikono mingi.
Nimwambie atumie njia gani ili aweze kuacha kabisa hilo swala? maana amekuwa mtumwa wa punyeto kabisa.!!
Ilikuwa mwaka 2013 , mdogo wangu alikuwa kidato cha kwanza, siku moja alirudi nyumbani kutoka shule alipo maliza kubadili nguo za shule na kuvaa nguo za nyumbani akaniuliza "kupiga punyeto ni sawa sawa na kufanya mapenzi na mwanamke?" Mimi nikamjibu "kupiga punyeto ni sawa na kujiridhisha matakwa yako bila mwanamke ila kwa kutumia hisia kama uko na mwanamke vile"
Usiku wa siku hiyo niliingia chumbani kwake nikakuta jarida flani la hapa Tanzania katika meza yake ya kusomea, nikaamua kulipitia pitia nikakutana na maada inayo sema punyeto haina madhara yoyote bali inasaidia mtu kuepukana na kupata magonjwa ya zinaa na ubakaji.
Walikuwa wameidadavua iyo mada vizuri haswaaa, basi nikagundua sababu ya dogo kuniuliza kuhusu punyeto ni lile jarida.
Hiyo ilikuwa ni 2013 ila sasa dogo amekuwa muhanga wa punyeto, anapiga kama hana akili nzuri kila siku anapiga punyeto na kuna wakati ana niambia akiona hapati usingizi basi anapiga chap alafu anaishia usingizini. Japo anataka kuacha ila anashindwa kabisa, na kuna wakati ananiambia kuwa hata akiwa na demu wake basi anashindwa kumwaga kabisa adi inabidi amalizie na mikono mingi.
Nimwambie atumie njia gani ili aweze kuacha kabisa hilo swala? maana amekuwa mtumwa wa punyeto kabisa.!!

Usiangalie au usisome mambo yote yanayohusu ngono