Jaribio la kuomba hela

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]uwi dunia simama nishuke, so na yule Babu naye yaliyomo yamo????
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]uwi dunia simama nishuke, so na yule Babu naye yaliyomo yamo????
Ingekuwa sivyo mbona hakumpa hiyo nafasi jamaa pamoja na kuziona bashasha zote hizo za jamaa?? Yaani toka dar - dom mtu anakulilia tu. Si naye Babuu alitamani aonje hiyo asali inayomsumbua kijana?? Old is gold while teen is silver
 
Kajiongeza [emoji3][emoji3]
Ukipiga bomu tu mtu anajua hapa sihitajiki.
 
Ingekuwa sivyo mbona hakumpa hiyo nafasi jamaa pamoja na kuziona bashasha zote hizo za jamaa?? Yaani toka dar - dom mtu anakulilia tu. Si naye Babuu alitamani aonje hiyo asali inayomsumbua kijana?? Old is gold while teen is silver
[emoji38]
 
unataka elfu 50 njoo uifate sipendagi ujinga mimi na ukija sasa iyo show yake sio ya nchi hii mana nikikumbuka ulivyo kua unanizungusha aki nitakua napiga mpini kama nachimba mgodi
 
unataka elfu 50 njoo uifate sipendagi ujinga mimi na ukija sasa iyo show yake sio ya nchi hii mana nikikumbuka ulivyo kua unanizungusha aki nitakua napiga mpini kama nachimba mgodi
Sio Kila mdada anapigwa kizembe ,jipange
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…