MWILI NYUMBA
JF-Expert Member
- Jun 18, 2012
- 817
- 255
Huyo jamaa aliyetaka kwenda kuiba jeshini ana akili timamu kweli?
Wanajeshi always ndiyo huwa chanzo,wanawadharau sana polisi! Kuna mshkaji wangu mmoja hivi ni mjeda anasema anatoa saluti kwa IGP tu lakini wengine hatambui vyeo vyao! Halafu cha ajabu jamaa mwenyewe ana nyota mbili tu kamaliza chuo kikuu hata miaka mi3 hana.Sijui wanafundishwa huko monduli kuwadharau wenzao?
Wanajeshi always ndiyo huwa chanzo,wanawadharau sana polisi! Kuna mshkaji wangu mmoja hivi ni mjeda anasema anatoa saluti kwa IGP tu lakini wengine hatambui vyeo vyao! Halafu cha ajabu jamaa mwenyewe ana nyota mbili tu kamaliza chuo kikuu hata miaka mi3 hana.Sijui wanafundishwa huko monduli kuwadharau wenzao?