Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,798
- 71,218
Pasco sometimes unachekesha sana! Hivi kuna haja ya kumuunga mkono yeyote anaye sema hadharani kuwa 'lazima yulituze vyema jeshi la polisi kwa vile linafanya Nazi nzuri kwa maslahi mapana ya ccm"?
Unadhani maneno yale yalikuwa ya bahati mbaya? No, alikusudia na Waziri wa sheria juzi kasema tamko LA rais ni sheria.
Watu tujifunze basi juu ya kauli zetu, kwenye AFCON wapenzi wa Mpira Tanzania walipata furaha ya ajabu kuingia zile fainali baada ya miaka 39. Miaka hiyo inamaana zaidi ya nusu ya Watanzania hawakuwepo 1980 kwani walikuwa hawajazaliwa ikiwepo wachezaji wote waliokuwa kule Misri.
Lakini neno moja tuu LA Makonda kwamba Stars inatekeleza Sera za ccm mliona upepo ulivyo badilika! Watanzania wengi wakafikia kuombea kwa uwazi Stars ifungwe.
Why? Ni kauli na matendo ya viongozi ndio yanazalisha upinzani.
Kwa taarifa yako upinzani wa sasa sio Chadema ama CUF au ACT, ni Watanzania wenyewe wakiwamo wana CCM kama tunavyo shuhudia sasa. Hapati usingizi sio kwa sababu ya Mbowe au Zito pekee bali Makamba, Kinana au JK na wengine wavaa kijani.
Unadhani maneno yale yalikuwa ya bahati mbaya? No, alikusudia na Waziri wa sheria juzi kasema tamko LA rais ni sheria.
Watu tujifunze basi juu ya kauli zetu, kwenye AFCON wapenzi wa Mpira Tanzania walipata furaha ya ajabu kuingia zile fainali baada ya miaka 39. Miaka hiyo inamaana zaidi ya nusu ya Watanzania hawakuwepo 1980 kwani walikuwa hawajazaliwa ikiwepo wachezaji wote waliokuwa kule Misri.
Lakini neno moja tuu LA Makonda kwamba Stars inatekeleza Sera za ccm mliona upepo ulivyo badilika! Watanzania wengi wakafikia kuombea kwa uwazi Stars ifungwe.
Why? Ni kauli na matendo ya viongozi ndio yanazalisha upinzani.
Kwa taarifa yako upinzani wa sasa sio Chadema ama CUF au ACT, ni Watanzania wenyewe wakiwamo wana CCM kama tunavyo shuhudia sasa. Hapati usingizi sio kwa sababu ya Mbowe au Zito pekee bali Makamba, Kinana au JK na wengine wavaa kijani.