Maryam Malya
Senior Member
- Nov 29, 2021
- 115
- 258
Maganga amethibitisha kwa matendo yake mwenyewe kuwa hana uwezo wa kushughulikia kikamilifu shida za wanachama na kusimamia madhumuni ya kuanzishwa kwa chama chetu.
Badala yake amekuwa ni mtu wa kukimbikimbia huku na huko kuhonga na kujinasua kwenya majanga aliyoyatengeneza yeye binafsi.
Ieleweke wazi kuwa moja ya kundi kubwa alilolihonga na kulinunua kabisa ni kundi la wajumbe wa Baraza la Taifa, Kundi la kamati ya utendaji Taifa.
Ununuzi huu wa vyombo vyetu hivyo vikubwa vya maamuzi uliofanywa na bwana Japhet Moses Mgele Maganga Umepelekea kuwafunga midomo wajumbe hao wenye uwezo wa kumchukulia hatua ikiwemo za kumuwajibisha huyu ndugu Maganga ambae hata hivyo hapo alipo hana kibali (secondment) kutoka serikalini na alitakiwa kurudi Tandika S/M kufundisha lakini hadi leo yupo CWT anazuga zuga kama karunguyeye au yule mdudu kakakuona. Haendi ofisi yoyote ile ya serikali, yeye ofisi anazozijua ndugu Maganga ni hotels na guest houses anapokwenda kukutana na vimada na washikaji zake.
Vitendo hivyo vinafanya chama chetu CWT kiendelee kupoteza mvuto kwa walimu na hata wadau mbalimbali wa serikali. Mtakumbuka hata kusanyiko la watu elfu 40 linalotarajiwa kufanyika Mwanza pale uwanja wa CCM Kirumba tarehe 13 December, hadi sasa hakuna mgeni rasmi wa maana aliye confirm kuwepo siku hiyo badala yake tunaanza kupigwa danadana na maneno kibao mara hata asipokuwepo fulani fresh tu, aje hata rais wa TUCTA, au wa TFF.
Hatuna budi kusimama kwa sauti moja tukamwambia:
Maganga Must Go
Maganga Must Go
Maganga Must Go
Badala yake amekuwa ni mtu wa kukimbikimbia huku na huko kuhonga na kujinasua kwenya majanga aliyoyatengeneza yeye binafsi.
Ieleweke wazi kuwa moja ya kundi kubwa alilolihonga na kulinunua kabisa ni kundi la wajumbe wa Baraza la Taifa, Kundi la kamati ya utendaji Taifa.
Ununuzi huu wa vyombo vyetu hivyo vikubwa vya maamuzi uliofanywa na bwana Japhet Moses Mgele Maganga Umepelekea kuwafunga midomo wajumbe hao wenye uwezo wa kumchukulia hatua ikiwemo za kumuwajibisha huyu ndugu Maganga ambae hata hivyo hapo alipo hana kibali (secondment) kutoka serikalini na alitakiwa kurudi Tandika S/M kufundisha lakini hadi leo yupo CWT anazuga zuga kama karunguyeye au yule mdudu kakakuona. Haendi ofisi yoyote ile ya serikali, yeye ofisi anazozijua ndugu Maganga ni hotels na guest houses anapokwenda kukutana na vimada na washikaji zake.
Vitendo hivyo vinafanya chama chetu CWT kiendelee kupoteza mvuto kwa walimu na hata wadau mbalimbali wa serikali. Mtakumbuka hata kusanyiko la watu elfu 40 linalotarajiwa kufanyika Mwanza pale uwanja wa CCM Kirumba tarehe 13 December, hadi sasa hakuna mgeni rasmi wa maana aliye confirm kuwepo siku hiyo badala yake tunaanza kupigwa danadana na maneno kibao mara hata asipokuwepo fulani fresh tu, aje hata rais wa TUCTA, au wa TFF.
Hatuna budi kusimama kwa sauti moja tukamwambia:
Maganga Must Go
Maganga Must Go
Maganga Must Go